Usichopenda kutendewa, usimtendee mwenzako

Akili ni nywele kila mtu ana zake, nyingine ndefu, nyingine fupi, nyingine zimenyolewa. Cha msingi tujifunze kuchagua na kuchukuliana na wale tulio nao!!! Ikiwa ndugu, jamaa au rafiki!!!!
 

1.Niliyoyaongelea mm ni yale ambayo in totaly yana muonekano mbaya kwa waliyo wengi (hayapendwi na waliyo wengi) hata kama kwako unaona ni sawa tu kuyafanya.
2.Ukija ktk suala la kubeep hata mm naona ni jambo la kawaida ila hiyo staili niliyoiyongelea hapo juu (angalia ktk hizo red) ni kero. Pia naweza kupata picha fulani kutoka na jinsi mtu alivyo nibeep, mfano mtu anakupigia lkn simu ikianza kuita anakata, kwa stail hiyo just mtu anataka kujua kuwa hii namba inapatikana/inafanya kazi. Akirejea kwa mara nyengine staili hiyo, humuhisi kuwa ana hofu ya mm kuwahi kupokea nikammalizia credit yake.
3.Hakuna uhalali wa kutumia kitu vibaya eti kwasabubu ktk vitu vyengine unaweza kutumia ubaya huo. XXX zilizomo ktk simu ni tofauti na zile za ktk tv au za kuapload ktk net kiutumiaji. Tivi inabaki home lkn 24 7 hrz and more simu unakuwa karibu nayo.
Angalizo: SIYO KILA KINACHOKUJA KUPITIA UTANDAWAZI HUWA KINAFAA KUTUMIWA na eti kwsbb matumizi hayo mabaya yapo ktk acsess zilizotangulia
 
Akili ni nywele kila mtu ana zake, nyingine ndefu, nyingine fupi, nyingine zimenyolewa. Cha msingi tujifunze kuchagua na kuchukuliana na wale tulio nao!!! Ikiwa ndugu, jamaa au rafiki!!!!

Ni ki2 kizuri sana ulichoongea. Kiukweli mm mwenyewe nipo tofauti kulingana na utofauti wa watu bt nipo cool kwa wote
 
Au saa nane usiku aroooo dada naomba nirushie jelo, hapo ni dogo labda yuko shule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…