Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Tukiwa tunaelekea katika mechi za Ligi Kuu ya Vodacom 2014/2015 katikati na mwishoni mwa wiki hii na kwa kuwa ligi inaelekea ukingoni, si vibaya tukatupia macho yetu katika 'performance' za Klabu za Yanga na Simba ili kujua nani ni bora zaidi ya mwenzake.
Timu zote (Yanga & Simba) zikiwa zimecheza mechi 21: Yanga inaongoza ligi katika nafasi ya 1 huku Simba ikiwa katika nafasi ya 3; Yanga imeshinda mechi 14 wakati Simba imeshinda mechi 9; Yanga imetoa sare 4 huku Simba ikitoa sare 8; Yanga imepoteza mechi 3 wakati Simba imepoteza mechi 4; Yanga imefunga magoli 39 wakati Simba imefunga magoli 27; Yanga imefungwa magoli 12 wakati Simba imefungwa magoli 15; Yanga ina uwiano wa magoli ya kufunga na kufungwa wa 27 wakati Simba ina uwiano wa 12; Yanga ina pointi 46 wakati Simba ina pointi 35.
Wakati Yanga ikiwa 95% confident kuchukua ubingwa wa Bara mwaka huu; hadi sasa Yanga imetwaa ubingwa mara 24 wakati Simba ikitwaa mara 18.
Jedwali lifuatalo ni muhtasari wa data hizo hapo juu kwa wale wenye allergy na Ungwini:
[TD="colspan: 11"]
[/TD]
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 39, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 154, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 63, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 36, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 37, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 36, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 36, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 36, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 31, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 39"] 1
[/TD]
[TD="width: 5"][/TD]
[TD="width: 154"] Young Africans SC
[/TD]
[TD="width: 63"]
[/TD]
[TD="width: 36"]
[/TD]
[TD="width: 37"]
[/TD]
[TD="width: 36"]
[/TD]
[TD="width: 45"]
[/TD]
[TD="width: 36"]
[/TD]
[TD="width: 36"]
[/TD]
[TD="width: 31"]
[/TD]
[TD="width: 73"]
[/TD]
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 39"] 3
[/TD]
[TD="width: 5"][/TD]
[TD="width: 154"] Simba SC
[/TD]
[TD="width: 63"]
[/TD]
[TD="width: 36"]
[/TD]
[TD="width: 37"]
[/TD]
[TD="width: 36"]
[/TD]
[TD="width: 45"]
[/TD]
[TD="width: 36"]
[/TD]
[TD="width: 36"]
[/TD]
[TD="width: 31"]
[/TD]
[TD="width: 73"]
[/TD]
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 202, colspan: 3"] TOFAUTI (Yanga – Simba)
[/TD]
[TD="width: 63"]
[/TD]
[TD="width: 36"]
[/TD]
[TD="width: 37"]
[/TD]
[TD="width: 36"]
[/TD]
[TD="width: 45"]
[/TD]
[TD="width: 36"]
[/TD]
[TD="width: 36"]
[/TD]
[TD="width: 31"]
[/TD]
[TD="width: 73, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
Adapted from: Tanzania Premier League: Standings - World Match Centre - FIFA.com (All time trophies added).
Kwa data hizi ni dhahiri kuwa Yanga ni bora kuliko Simba hivyo hakuna haja ya kudanganyika!
Timu zote (Yanga & Simba) zikiwa zimecheza mechi 21: Yanga inaongoza ligi katika nafasi ya 1 huku Simba ikiwa katika nafasi ya 3; Yanga imeshinda mechi 14 wakati Simba imeshinda mechi 9; Yanga imetoa sare 4 huku Simba ikitoa sare 8; Yanga imepoteza mechi 3 wakati Simba imepoteza mechi 4; Yanga imefunga magoli 39 wakati Simba imefunga magoli 27; Yanga imefungwa magoli 12 wakati Simba imefungwa magoli 15; Yanga ina uwiano wa magoli ya kufunga na kufungwa wa 27 wakati Simba ina uwiano wa 12; Yanga ina pointi 46 wakati Simba ina pointi 35.
Wakati Yanga ikiwa 95% confident kuchukua ubingwa wa Bara mwaka huu; hadi sasa Yanga imetwaa ubingwa mara 24 wakati Simba ikitwaa mara 18.
Jedwali lifuatalo ni muhtasari wa data hizo hapo juu kwa wale wenye allergy na Ungwini:
All Time Trophies | ||
[TD="colspan: 11"]
VODACOM PREMIER LEAGUE 2014/2015
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 39, bgcolor: transparent"]
Rnk
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 154, bgcolor: transparent"]
Team
[TD="width: 63, bgcolor: transparent"]
MP
[TD="width: 36, bgcolor: transparent"]
W
[TD="width: 37, bgcolor: transparent"]
D
[TD="width: 36, bgcolor: transparent"]
L
[TD="width: 45, bgcolor: transparent"]
GF
[TD="width: 36, bgcolor: transparent"]
GA
[TD="width: 36, bgcolor: transparent"]
+/-
[TD="width: 31, bgcolor: transparent"]
Pts
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 39"] 1
[/TD]
[TD="width: 5"][/TD]
[TD="width: 154"] Young Africans SC
[/TD]
[TD="width: 63"]
21
[TD="width: 36"]
14
[TD="width: 37"]
4
[TD="width: 36"]
3
[TD="width: 45"]
39
[TD="width: 36"]
12
[TD="width: 36"]
27
[TD="width: 31"]
46
[TD="width: 73"]
24
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 39"] 3
[/TD]
[TD="width: 5"][/TD]
[TD="width: 154"] Simba SC
[/TD]
[TD="width: 63"]
21
[TD="width: 36"]
9
[TD="width: 37"]
8
[TD="width: 36"]
4
[TD="width: 45"]
27
[TD="width: 36"]
15
[TD="width: 36"]
12
[TD="width: 31"]
35
[TD="width: 73"]
18
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 202, colspan: 3"] TOFAUTI (Yanga – Simba)
[/TD]
[TD="width: 63"]
0
[TD="width: 36"]
5
[TD="width: 37"]
-4
[TD="width: 36"]
-1
[TD="width: 45"]
12
[TD="width: 36"]
-3
[TD="width: 36"]
15
[TD="width: 31"]
11
[TD="width: 73, bgcolor: transparent"]
6
[TD="width: 5, bgcolor: transparent"][/TD]
Adapted from: Tanzania Premier League: Standings - World Match Centre - FIFA.com (All time trophies added).
Kwa data hizi ni dhahiri kuwa Yanga ni bora kuliko Simba hivyo hakuna haja ya kudanganyika!