Usidharau power ya Instagram followers

Jamaa wizkid yani kama hajui kuna tuzo za BET maana simuoni kuamasisha watu kumpigia kura....nafikiri yeye anatazama hela tu
 
wiz kid ana nyota ya kimataifa na connection n urafiki wke na chris brown unambeba tofauti na davido hata R.kelly kwny album yke ya mwaka jana the buffet aliweka wimbo wke aliomshirikisha wiz kid unaitwa i just want to thank you
 
Wizkid ameimba wapi kwenye one dance??? Nimeona jina tu ila sijasikia alichoimba mule
haaah yupo ile sehemu anaimba km bridge sema anasound km muhindi [emoji23] [emoji23]
pretty girl and she love me long time
Wine it, wine it, very long time
Oh, yeah, she steady on grindin'
Back up, back up, back up and wine it
Back up, back up and wine it
Back up, back up, back up and wine it
Oh, yeah, she steady on grindin'
Back up, back up and wine it, girl
ukipata iyo sehemu ndo wiz kid alipoimba
 
Jamaa wizkid yani kama hajui kuna tuzo za BET maana simuoni kuamasisha watu kumpigia kura....nafikiri yeye anatazama hela tu
haah kibiriti fitina yule wiz kid hata mwaka jana hakuomba kura akafanya hadi stonebwoi ababe tuzo na hata kwny tuzo hakutokea akasema hawezi enda kwny.tuzo zinazotolewa backstage
ila ndo kawaida yke hata mtv haombagi kura
 
Hiyo mitandao inatokana na nchi tuu

Wakati watanzania wengi mkiwa mko insta

Wakenya wengi wako twitter, na angalia wasanii wetu hawako na followers wengi wa twitter
kule twitter usije jaribu "kumchokonoa" mkenya.maana wapo wengi sana,watakufanyia cyberbullying mpaka utatoka "balu".

ila kwa upande instagram,nathubutu kusema wabongo ndio vinara kwa EA.
 
Twita sio maarufu sana kama insta na fb....


Achana na habari zako, Twitter sio maarufu labda huko uswahilini kwenu tu. Ule ni mtandao wa watu wenye akili timamu, sio Instagram watu wanaonyesha chupi zao kutwa nzima
 
haah kibiriti fitina yule wiz kid hata mwaka jana hakuomba kura akafanya hadi stonebwoi ababe tuzo na hata kwny tuzo hakutokea akasema hawezi enda kwny.tuzo zinazotolewa backstage
ila ndo kawaida yke hata mtv haombagi kura





Jamaa anajiamini sana basi namtabiria kufika mbali zaidi ya alipo sasa inafika muda watamtafuta wenyewe hili kumpa tuzo
 
Jamaa wizkid yani kama hajui kuna tuzo za BET maana simuoni kuamasisha watu kumpigia kura....nafikiri yeye anatazama hela tu
dharau
hivi ushaonaga wizkid hata hizi collabo anazipromo cjui, au nyimbo za wenzie ??
kashakwambia yeye starboy
aombe kura za nini wakati duniani yeye ndo michael jackson no.2
 
Wa Tz tuhangaike na kijana wetu tu kumuombea anyanyue kwapa maana lile nunda la manunda Starboy hata muda hana ni kupoteza muda kumjadili maana hata BET wanamjua Wizkidayo kua hana shobo nao na sidhani kama ataenda kwenye sherehe zenyewe maana mwaka jana aligoma na akasema awards zinatolewa kibaguzi maana washindi toka Africa wanapewa mchana jukwaa tofauti na wengine kwake hii dharau kubwa anataka jukwaa moja na Beyonce.
 



Yupo sawa kabisa kama wamekumbuka uwepo wa waafrika kwanini wanawapa backstage wasanii wote wangekuwa kama huyu wangeheshiwa sana
 
Yupo sawa kabisa kama wamekumbuka uwepo wa waafrika kwanini wanawapa backstage wasanii wote wangekuwa kama huyu wangeheshiwa sana

Starboy anachofanya ni kujipa thamani yeye mwenyewe wakati wasanii wengine ile nomination tu kwao ni sherehe sidhani kama watapata ubavu kuongea,ukweli BET wanadharau sana wasanii wetu ipo haja ya ndugu zetu kusimama na kujipa thamani.
 
Starboy anachofanya ni kujipa thamani yeye mwenyewe wakati wasanii wengine ile nomination tu kwao ni sherehe sidhani kama watapata ubavu kuongea,ukweli BET wanadharau sana wasanii wetu ipo haja ya ndugu zetu kusimama na kujipa thamani.





Na mimi nipo upande wake aiseee
 


African Act zinatolewa kwenye main show na si mchana

Sema hakajawahi kushinda ndio maana kana mind
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…