Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikuwa mawinga k/koo nini? Kama wameshika nguo hapo.
Si lolote si chochote watanganyika kusifia ujinga ujinga jadi yao.Ndio kina nani hao huko Daslam?
Fan mwenzetu huyoWalikuwa mawinga k/koo nini? Kama wameshika nguo hapo.
Ila sijapenda Ahmed kuvaa jezi ya chama langu Arsenal.
Huyu ndiyo Kabadilika sasa😊
Kuna watu watatamani hii nyani
Doohhh kumbe huyo ndio George Ambangile???Hiyo picha ya George Ambangile ya kwanza siyo mbaya nayo
Ambangile hajawahi fanya kazi CloudsDoohhh kumbe huyo ndio George Ambangile???
Nilikuaga namkubali alipokua times fm, ndio alinifanya niwe nasikiliza michezo, alipohamia Clouds akili na ujuz ukapotea kama kopo yan debe tupu na radio nikaachaga kusikiliza mpaka kesho