Usifungue kama hukupata atleast "c" ya hesabu form 4!!!

mkuyati og

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2011
Posts
821
Reaction score
587
Tafuta kosa liko wapi katika hesabu hii..



Nasubiri majibu, ntatoa maksi accordingly!!
:israel:
 
aisee! mathematically hakuna kosa, lkn kiukwel 0/0 sio sawa 2
 
Kichwa wewe,nimekubali mkuu mie mwenyewe nina banda la olevo na advance lkn hii hesabu ingeniumiza kichwa.
 
kwani nani amebisha kuwa 0/0=2 hadi unataka sisi kuprove?

Ziko zero mbili unataka wana memba wapruvu nini!!!!
 
ndo maana niliachaga hesabu nikaenda kusoma biology. Kuna ujanja ujanja mwingi kwenye hesabu na physics. Mtu anakuambia asume there is no air.!!!?? Khaa?..

Haha, ndo hesabu hyo mkuu.. inaonekana simple ila tata!!
 
aliye toa hesabu anaumwa kama ni mzima basi hesabu iko kwenye dozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
 
hapo kwenye 10-10=0...weka 0 kabla ya kucancel juu na chini then jaribu tena kama itakuja 2...nimejaribu coz nlipataga D
 
kwenye hatua ya 3 kuja ya 4 ndo pana kosa. Logically iko ok but mathematically no. Ulichokifanya ni sawa na 3x0 = 2x0 = 0

Unatka sema ni kosa mimi kuua hizo (10-10)/(10-10)?? kwann??
 
hapo kwenye 10-10=0...weka 0 kabla ya kucancel juu na chini then jaribu tena kama itakuja 2...nimejaribu coz nlipataga D

Kwani hapo zilipo haziwezi kukatika?? nataka concept behind
 
Mhhhh nimesoma hesabu toka s/m hadi chuo kikuu, lakini sijawahi kukutana na hesabu ilisolazimishiwa kama hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…