Usigawe DNA yako kihuni

Usigawe DNA yako kihuni

Karibu chaputa mkuu
Narudia tena either you are a man or women na ushajifahamu akili ipo kumkichwa usigawe DNA Yako kizembe Kwa lugha nyepesi usizae kiholela na Watu wasiojielewa ni hayo tu ndugu zangu
Happy boxing day ,
Karibu CHAPUTA mkuu maana hawa dada zetu wakiamua jambo lao
Huwezi kuwazuia unless otherwise uwe prime member wa CHAPUTA
 
Karibu chaputa mkuu

Karibu CHAPUTA mkuu maana hawa dada zetu wakiamua jambo lao
Huwezi kuwazuia unless otherwise uwe prime member wa CHAPUTA
Wapo ma great thinkers wa kike if you see one make her your number one target! Else you will regrettably live the rest of your life trust me,
Ntaonga hata nyumba if i see one 😁
 
Tanzania kuna mtu mwenye akili?

Au kuna watu wenye uwezo wa kutafuta X na kusolve Physics

Una akili halafu unanunua mabehewa used kwa 3billions

Una akili tena umemaliza UDSM unasifia ujinga na wengi ni Machawa wa CCM, wamejaa twita

Una akili halafu unaogopa kufukuzwa kazi
 
Tanzania kuna mtu mwenye akili?

Au kuna watu wenye uwezo wa kutafuta X na kusolve Physics

Una akili halafu unanunua mabehewa used kwa 3billions

Una akili tena umemaliza UDSM unasifia ujinga na wengi ni Machawa wa CCM, wamejaa twita

Una akili halafu unaogopa kufukuzwa kazi
Ndg myahudi jr the second,
Ukiacha upande wa viongoz wapo watanzania wengi wenye akili na magreat thinkers niamini they play low key for reason.

"If you are a lion and you know you are being led by a sheep better keep your profile low for sweet spot to act"
Said FlyingDutchman
 
Back
Top Bottom