FlyingDutchman
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 399
- 794
Karibu CHAPUTA mkuu maana hawa dada zetu wakiamua jambo laoNarudia tena either you are a man or women na ushajifahamu akili ipo kumkichwa usigawe DNA Yako kizembe Kwa lugha nyepesi usizae kiholela na Watu wasiojielewa ni hayo tu ndugu zangu
Happy boxing day ,
Wapo ma great thinkers wa kike if you see one make her your number one target! Else you will regrettably live the rest of your life trust me,Karibu chaputa mkuu
Karibu CHAPUTA mkuu maana hawa dada zetu wakiamua jambo lao
Huwezi kuwazuia unless otherwise uwe prime member wa CHAPUTA
Narudia tena either you are a man or women na ushajifahamu akili ipo kumkichwa usigawe DNA Yako kizembe Kwa lugha nyepesi usizae kiholela na Watu wasiojielewa ni hayo tu ndugu zangu
Happy boxing day ,
Dah chukua soda ya baridi apo,Kwa lugha nyingine sio kila ardhi ni ya kurushia mbegu...
No angles , there are beginners,professional, experienced, acquittancespole ndugu inaelekea unamsongo sana,nakushauri epuka kujilaumu
Mbona makasiriko ππUshachelewa kutambua hilo
Mkuu nmeumwa Xmas hii nikahisi nakata roho , ndo nkagundua kua kuoa ni muhimu sana ππ i disapprove ur argumentPia usisahau ushauri mkuu.USIOE KWA GHARAMA YOYOTE
Ndg myahudi jr the second,Tanzania kuna mtu mwenye akili?
Au kuna watu wenye uwezo wa kutafuta X na kusolve Physics
Una akili halafu unanunua mabehewa used kwa 3billions
Una akili tena umemaliza UDSM unasifia ujinga na wengi ni Machawa wa CCM, wamejaa twita
Una akili halafu unaogopa kufukuzwa kazi