Usije kujaribu kujizuia kufika kileleni unapofanya mapenzi

Usije kujaribu kujizuia kufika kileleni unapofanya mapenzi

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Wakati nipo nazungumza na shemeji yenu, sijui akili ilitoka wapi ikanivamia! Ikaniambia, "zuia wazungu leo!"

Nilivyoona wanakaribia, nikajipanga mtoto wa watu. Spidi nikaongeza huku nikiwa makini kama mwanasayansi anayesubiri tafiti yake ikamilike ndani ya sekunde. Asalaleeee! Si wakafika kenge maji, nikazuia sekunde hiyo hiyo. Nikasikia maumivu makali mno yakitanda mwili mzima. Kizunguzungu kikanikamata, macho yakaanza kuona giza huku masikioni nikisikia mluzi wa nzwiiiii.

Nachokumbuka nilipozinduka nikiwa mnyonge sana, nimemwagiwa maji na shemeji yenu, nipo tepetepe. Aliponiuliza nini kimenipata, nikamdanganya kwamba mzimu wa ukoo ulitaka nikupe mimba, lakini nikaukatalia. Hivyo, mzimu ukaamua isiwe tabu, "acha nikuzimishe wewe nyumbu!"

Uzuri akanielewa, akanipikia uji nikanywa, nguvu zikanirudia!

Mambo mengine msije kujaribu, mtakuja kung'oka meno. Lile tendo halina reverse!
 
Kuna la kujifunza hapa.

FB_IMG_1717598792712.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
wakati nipo nabenjuka na shemeji yenu sijui akili ya wapi ikanivagaa! ikaniambia zuia wazungu leo!!.
nilivyoona wanakaribia kuja nikajiset mtoto wa watu,spidi nikaikoleza huku nikiwa makini kama mwanasayansi anaesubiri tafiti yake ikamilike ndani ya sekunde!, asalaleeeee si wakafika kenge maji nikazuia sekunde hiyohiyo nikasikia maumivu makali kinyama yakanitanda mwili mzima!, kizunguzungu kikanikamata macho yakaanza kuona giza huku masikioni nikawa nasikia nzwiiiii!..

nachokumbuka nilizinduka nikiwa mmnyonge sana nimemwagiwa maji na shemeji yenu nipo tepetepe!,alivyoniuliza nini kimenipata nikamdanganya mzimu wa ukoo ulitaka nikupe mimba sasa nikaukatalia ndo mzimu ukaamua isiwe tabu acha nikuzimishe nyumbu wewe!.
uzuri akanielewa akanipikia uji nikanywa nguvu zikanirudia!.

mambo mengine msije kujaribu mtakuja mng'oke meno lile tendo halina reverse!!.
Mtakuja kufia kwenye vidonda
 
Back
Top Bottom