Usije PM, rusha mistari yako hapa nikufuate mwenyewe PM

Em andika kiswahili na mm nikazitumie kW add wa kazi[emoji69]
 
Tena akamsimulia na jamaa kuwa babu yake anamtaka arithi mkoba wa uganga!

Eti mamie cutelove vp kuhusu mkoba wa babu.
Wanichome? Ila 7,800 ulipokea guest pale ubungo ulipotoka mwanza?
 
..........Dada zetu siku hizi wapo spidi sana kujitongozesha.
 
Jamani pale pm nimekuta request zaidi ya 50 wakiomba nichati nao

Naomba muweke vina na mizani hapa a.k.a mistari yenu,maneno yatakayoshika moyo wangu,nataku-quote kukutaarifu kukufuata PM

I'm serious, kwa wale wa matani na matusi wapite kushoto
Mi nataka nionje tu kama itawezekana ila nakuhakikishia hutojutia mda wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…