Picha? Video? Au wivu?
labda wasanii wa tzSkuizi kuna tabia imeanzishwa wasanii wanasema wamenunua magari Ila wakitembea nayo hayawekwi plate no wasanii ukiwafuata Maisha Yao watakupoteza,
Vyote kwa pamojaPicha? Video? Au wivu?
AaahaaaaaSasa kama mtu anaimba hit song ya kumwimbia manzi mpaka wewe unaidediket Kwa mke,mchumba wako wakati yeye kutwa kubadirisha wa awake hapo unapata picha Gani.
Na mahusiano yake,ni kama mayai ya kisasa.
Jina linasadifu,afu wabongo hamnaga dogo.
Yako yanakushinda,kutwa kufatilia ya wenzako.ukijagundua anamiliki kweli,utarudi hapa na hoja mpya,je mali zote zile ni mziki tu😂