Usijenge tu ili nawe uwe na nyumba

Usijenge tu ili nawe uwe na nyumba

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
1. Usijenge tu ili uitwe baba mwenye nyumba
Jenga mahali tambarare mahali ambapo gari, pikipiki na baiskeli vinaweza kuingia bila shaka.

Usiwe na akili za watu wajinga kama waliojenga kwenye makorongo Keko, Mbezi, Kimara na Buza.

Hizo locations nilizotaja aisee kuna sehemu hata baiskeli haiwezi kuingia yet mtu anajenga nyumba ya zaidi ya sh. Milioni 50.

2. Hakikisha ndani hukosi usafiri
Jitahidi uwe na gari, pikipiki au hata baiskeli.

Usikae ndani bila kuwa na usafiri wowote.

Kuna dharura za hapa na pale usiku au mchana.
 
Naweka Lamination ya dhahabu.

Mtu anajenga mahala ambapo muda wa kurudi nyumbana ukifika anaona uvivu kurudi kwake anawaza atafikaje na tena mvua ikinyesha inakata wiki anakula na kulala kazini bila sababu za msingi.
 
Viwanja vya tambarare vimeisha mjini, ndomaana unaona watu wanakimbilia huko kwenye makorongo. Kila mtu anapenda kuishi sehem ambayo haina usumbufu wa kutoka au kurudi.

Ila ndo hivyo kuna muda mungine inakulazimu uishi hivyo hivyo sehem zenye usumbufu kama hizo ulizotaja hata kama haupapendi.
 
Wabongo tumekariri kujenga,

Nadhani kuwekeza ni bora zaid wakati ukiwa umepanga, utajenga ktk 40's huko tena kwa wepes zaidi wakati financially upo strong
Kuijenga financial strength siyo rahisi kama kula na kunya. Ndiyo maana watu wakibahatisha mkwanja wanaona bora wajenge hata mabondeni.

Wapo watu wengi sana ambao ujanani walipata hela, lkn walipotaka kuzizungusha zaidi ili wapate zaidi wakazipoteza zote. Ogopa sana maisha ya kibongo.
 
Ukijenga bado upo kijana unapata faida gani?
Sanasana kujitia stress tu
Kama mm tayar uwezekano wakua tajr nnayo maana hyo pesa ya kulipa kodi ya nyumba itakuwa ina faction sehem nyngne hyo garama stakuwa nayo zaid ya kufocus sehem nyngne faida ya pili stakuwa homeless kwaiyo dhamana ninayo kama nkihtaj kuboost biashara yang hlo halita nsumbua
 
Hoja ya Msingi iwe kwamba Jenga kwenye kiwanja kilichopimwa,haijalishi ni Mlimani au kuna Mtelemko au Bondeni.Kiwanja kitazame Barabara,kiwe na miundombinu ya Msingi,kiwe karibu na Huduma za Jamii (Shule,Masoko,Hospitali NK).Hilo likiisha haya kama huna Gari au Pikipiki Unatumia usafiri WA umma.
 
1. Usijenge tu ili uitwe baba mwenye nyumba
Jenga mahali tambarare mahali ambapo gari, pikipiki na baiskeli vinaweza kuingia bila shaka.

Usiwe na akili za watu wajinga kama waliojenga kwenye makorongo Keko, Mbezi, Kimara na Buza.

Hizo locations nilizotaja aisee kuna sehemu hata baiskeli haiwezi kuingia yet mtu anajenga nyumba ya zaidi ya sh. Milioni 50.

2. Hakikisha ndani hukosi usafiri
Jitahidi uwe na gari, pikipiki au hata baiskeli.

Usikae ndani bila kuwa na usafiri wowote.

Kuna dharura za hapa na pale usiku au mchana.
Duuuuuh
 
Back
Top Bottom