SUGABOY
Member
- Sep 27, 2010
- 13
- 14
MCHAKATO WA UCHAGUZI MAJIMBONI 2020
HATUA YA KWANZA
-Kuchukua fomu (Kimyakimya bila mbwembwe)
-Kujaza Fomu
-Kurudisha fomu
-Kujadiliwa na kamati ya siasa wilaya (Wanatoa maoni kwa kila Mgombea, kama wagombea wako 10 au 3 au 7 wote wanatolewa maoni)
-Maoni hayo kwa Majina ya wote waliochukua fomu yanapelekwa Kamati ya siasa Mkoa kujadiliwa.
HATUA YA PILI
-Kamati ya siasa Mkoa inajadili majina ya watia nia wote toka Wilayani/Majimbo.
-Kamati ya siasa Mkoa inatoa maoni kwa kila mtia nia.
-Kamati ya siasa Mkoa inapeleka Majina Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.
HATUA YA TATU
-Halmashauri Kuu/Kamati Kuu kujadili majina ya watia nia toka wilayani.
-Halmashauri Kuu/Kamati kuu kuchuja majina ya wagombea(Kama walikuwa 3,10 au 7) wanachuja na kubaki majina 3.
-Majina matatu yanafungwa kwenye bahasha ya SIRI na kurudishwa wilayani/Jimboni.
-Kwenye Mkutano Mkuu wa wilaya/Jimbo ambao huwa unakuwa na wajumbe kati ya 800 hadi 900.Majina matatu yatasomwa hapo.
-Kumbuka wakati Majina yanasomwa, watia nia wote wanapaswa kuwepo ili wasikilize kama wameteuliwa au wamekatwa.
-Mkutano Mkuu wa Wilaya utapiga kura kwa Majina hayo 3 yaliyosomwa, kisha matokeo yanatangazwa(Mchakato hauuishi hapo)
HATUA YA NNE
-Matokeo ya majina matatu kama yalivyopigiwa kura yanapelekwa KAMATI KUU ya CCM TAIFA.
-KAMATI Kuu ya CCM Taifa itatangaza jina moja kati ya yale matatu.
-Jina hilo linapelekwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwaajili ya taratibu za Uchaguzi Mkuu.
CCM MPYA 2020
HATUA YA KWANZA
-Kuchukua fomu (Kimyakimya bila mbwembwe)
-Kujaza Fomu
-Kurudisha fomu
-Kujadiliwa na kamati ya siasa wilaya (Wanatoa maoni kwa kila Mgombea, kama wagombea wako 10 au 3 au 7 wote wanatolewa maoni)
-Maoni hayo kwa Majina ya wote waliochukua fomu yanapelekwa Kamati ya siasa Mkoa kujadiliwa.
HATUA YA PILI
-Kamati ya siasa Mkoa inajadili majina ya watia nia wote toka Wilayani/Majimbo.
-Kamati ya siasa Mkoa inatoa maoni kwa kila mtia nia.
-Kamati ya siasa Mkoa inapeleka Majina Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.
HATUA YA TATU
-Halmashauri Kuu/Kamati Kuu kujadili majina ya watia nia toka wilayani.
-Halmashauri Kuu/Kamati kuu kuchuja majina ya wagombea(Kama walikuwa 3,10 au 7) wanachuja na kubaki majina 3.
-Majina matatu yanafungwa kwenye bahasha ya SIRI na kurudishwa wilayani/Jimboni.
-Kwenye Mkutano Mkuu wa wilaya/Jimbo ambao huwa unakuwa na wajumbe kati ya 800 hadi 900.Majina matatu yatasomwa hapo.
-Kumbuka wakati Majina yanasomwa, watia nia wote wanapaswa kuwepo ili wasikilize kama wameteuliwa au wamekatwa.
-Mkutano Mkuu wa Wilaya utapiga kura kwa Majina hayo 3 yaliyosomwa, kisha matokeo yanatangazwa(Mchakato hauuishi hapo)
HATUA YA NNE
-Matokeo ya majina matatu kama yalivyopigiwa kura yanapelekwa KAMATI KUU ya CCM TAIFA.
-KAMATI Kuu ya CCM Taifa itatangaza jina moja kati ya yale matatu.
-Jina hilo linapelekwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwaajili ya taratibu za Uchaguzi Mkuu.
CCM MPYA 2020