Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Utaratibu wa CCM uko wazi. Mwana CCM ambaye ni Rais akimaliza kipindi kimoja anapewa nafasi ya kugombea "bila kupingwa" kipindi cha pili.Lakini bado chama hakijaamua, jpm anamtumia polepole kuzuia wagombea urais kupitia ccm kuomba ridhaa kwenye chama ili abaki peke yake mgombea ndani ya ccm.wanaccm wanalalamika chinichini.
KabisaKwa mwenye dhamira ya uongozi kuwatumikia watu hana sababu kulalamikia demokrasia kukandamizwa..vyovyote vile uongozi mtu hupewa na Mola kama tu wagombea wote watakuwa kwenye uwanja sawa usiompendelea mtu.
Kwa utaratibu huu Tanzania sasa itapata viongozi wenye nia na dhamira ya dhati kutumikia watu..milango na mianya ya rushwa, ushabiki na ubabaishaji kwa kiwango kikubwa haina nafasi tena..imezibwa! hiyo ndio ilikuwa inaleta viongozi wabovu kila mahali..Mungu ni mwema Tanzania sasa itapiga hatua.
Huu utaratibu ni takwa la kikatiba?Utaratibu wa CCM uko wazi. Mwana CCM ambaye ni Rais akimaliza kipindi kimoja anapewa nafasi ya kugombea "bila kupingwa" kipindi cha pili.
Wewe ni mwana CCM?Huu utaratibu ni takwa la kikatiba?
Na umeanza lini?
Hapana.Wewe ni mwana CCM?
Ok, huo utaratibu umeanza lini?Utaratibu huwa hauwekwi kwenye katiba mzee. Ila Kuna kuwa na kanuni za uchaguzi wa viongozi wa chama na serikali. Kuna kanuni za maadili ya chama etc. Ambazo hubadilika kutokana na wakati.
Mkuu,unaweza nitumia Hilo file kwa email?Udiwani utaratibu wake ni huu.. [emoji116]View attachment 1467328
OK. Hii haipo kwenye Katiba ya CCM. Ni "utaratibu" ambao haujaandikwa ili unaheshimiwa. Mfano, hata ile ya akitoka Rais "Mkristu" anaingia "Mwislamu" ni "utaratibu" haipo kwenye Katiba. Fuatilia, Nyerere aligombeaga na nani? Mwinyi aligombea na nani? Mkape je? Kikwete?Hapana.
Pole ya nini..unaweza kuwa hujui aina ya viongozi wa ccm waliopo sasa..unaishi kwa mazoea, ccm hii c ile ya miaka ya nyuma, mbona mambo mengi yamebadilishwa, hili la uchaguzi ndio unadhan hawawez simamia wnachosema..lbd unaota ndoto na kujifariji kwa mazoea..umechelewa.Pole sana Mkuu, subiri mchakato uanze...sioni namna ccm itaondokana na rushwa kwa uchaguzi Wa Mwaka huu.muda utasema
Unaota ndoto za mchana..Wajidanganye, mkakati uliopo kugawa rushwa ndani ya ccm Ni mkali sana.Vijana wajiandae sio lelemama.
VIPI UPANDE WA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS?MCHAKATO WA UCHAGUZI MAJIMBONI 2020
HATUA YA KWANZA
-Kuchukua fomu (Kimyakimya bila mbwembwe)
-Kujaza Fomu
-Kurudisha fomu
-Kujadiliwa na kamati ya siasa wilaya (Wanatoa maoni kwa kila Mgombea, kama wagombea wako 10 au 3 au 7 wote wanatolewa maoni)
-Maoni hayo kwa Majina ya wote waliochukua fomu yanapelekwa Kamati ya siasa Mkoa kujadiliwa.
HATUA YA PILI
-Kamati ya siasa Mkoa inajadili majina ya watia nia wote toka Wilayani/Majimbo.
-Kamati ya siasa Mkoa inatoa maoni kwa kila mtia nia.
-Kamati ya siasa Mkoa inapeleka Majina Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.
HATUA YA TATU
-Halmashauri Kuu/Kamati Kuu kujadili majina ya watia nia toka wilayani.
-Halmashauri Kuu/Kamati kuu kuchuja majina ya wagombea(Kama walikuwa 3,10 au 7) wanachuja na kubaki majina 3.
-Majina matatu yanafungwa kwenye bahasha ya SIRI na kurudishwa wilayani/Jimboni.
-Kwenye Mkutano Mkuu wa wilaya/Jimbo ambao huwa unakuwa na wajumbe kati ya 800 hadi 900.Majina matatu yatasomwa hapo.
-Kumbuka wakati Majina yanasomwa, watia nia wote wanapaswa kuwepo ili wasikilize kama wameteuliwa au wamekatwa.
-Mkutano Mkuu wa Wilaya utapiga kura kwa Majina hayo 3 yaliyosomwa, kisha matokeo yanatangazwa(Mchakato hauuishi hapo)
HATUA YA NNE
-Matokeo ya majina matatu kama yalivyopigiwa kura yanapelekwa KAMATI KUU ya CCM TAIFA.
-KAMATI Kuu ya CCM Taifa itatangaza jina moja kati ya yale matatu.
-Jina hilo linapelekwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwaajili ya taratibu za Uchaguzi Mkuu.
CCM MPYA 2020
Acha uwongoPole ya nini..unaweza kuwa hujui aina ya viongozi wa ccm waliopo sasa..unaishi kwa mazoea, ccm hii c ile ya miaka ya nyuma, mbona mambo mengi yamebadilishwa, hili la uchaguzi ndio unadhan hawawez simamia wnachosema..lbd unaota ndoto na kujifariji kwa mazoea..umechelewa.
Kama ni kweli mchakato huu Kama utafatwa bila kuingiliwa wahamiaji haramu wakatafute kazi zingine.MCHAKATO WA UCHAGUZI MAJIMBONI 2020
HATUA YA KWANZA
-Kuchukua fomu (Kimyakimya bila mbwembwe)
-Kujaza Fomu
-Kurudisha fomu
-Kujadiliwa na kamati ya siasa wilaya (Wanatoa maoni kwa kila Mgombea, kama wagombea wako 10 au 3 au 7 wote wanatolewa maoni)
-Maoni hayo kwa Majina ya wote waliochukua fomu yanapelekwa Kamati ya siasa Mkoa kujadiliwa.
HATUA YA PILI
-Kamati ya siasa Mkoa inajadili majina ya watia nia wote toka Wilayani/Majimbo.
-Kamati ya siasa Mkoa inatoa maoni kwa kila mtia nia.
-Kamati ya siasa Mkoa inapeleka Majina Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.
HATUA YA TATU
-Halmashauri Kuu/Kamati Kuu kujadili majina ya watia nia toka wilayani.
-Halmashauri Kuu/Kamati kuu kuchuja majina ya wagombea(Kama walikuwa 3,10 au 7) wanachuja na kubaki majina 3.
-Majina matatu yanafungwa kwenye bahasha ya SIRI na kurudishwa wilayani/Jimboni.
-Kwenye Mkutano Mkuu wa wilaya/Jimbo ambao huwa unakuwa na wajumbe kati ya 800 hadi 900.Majina matatu yatasomwa hapo.
-Kumbuka wakati Majina yanasomwa, watia nia wote wanapaswa kuwepo ili wasikilize kama wameteuliwa au wamekatwa.
-Mkutano Mkuu wa Wilaya utapiga kura kwa Majina hayo 3 yaliyosomwa, kisha matokeo yanatangazwa(Mchakato hauuishi hapo)
HATUA YA NNE
-Matokeo ya majina matatu kama yalivyopigiwa kura yanapelekwa KAMATI KUU ya CCM TAIFA.
-KAMATI Kuu ya CCM Taifa itatangaza jina moja kati ya yale matatu.
-Jina hilo linapelekwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwaajili ya taratibu za Uchaguzi Mkuu.
CCM MPYA 2020
Ccm inamiliki kila kitu inamiliki rushwa, inamiliki mahakama, inamiliki takukuruPole sana Mkuu, subiri mchakato uanze...sioni namna ccm itaondokana na rushwa kwa uchaguzi Wa Mwaka huu.muda utasema
Kwani mwenye chama hawezi weka influence yake ili kuvuruga mchakatoPole ya nini..unaweza kuwa hujui aina ya viongozi wa ccm waliopo sasa..unaishi kwa mazoea, ccm hii c ile ya miaka ya nyuma, mbona mambo mengi yamebadilishwa, hili la uchaguzi ndio unadhan hawawez simamia wnachosema..lbd unaota ndoto na kujifariji kwa mazoea..umechelewa.