Usijifanye hujaambiwa! Wanawake wa Hivi Wakikupata, Utajuta Mwanangu!

Mtoa mada kusema ukweli umetusingizia jaman kwaio nisiseme nguo inabana jaman😹🙌🏾 simu nimeibiwa jaman nahitaj mpya 😹😹🙌🏾
 
14. Mwanamke mpenda dini - Si Waislam wala Wakristu, unakuta wengi wao ni malaya waliochoka /kustaafu, wanakimbilia kwenye dini kupumzika na kucheka wanaume taahira waliojichanganya akili na kuwaweka ndani. Kawaida wanawake kama hawa wanakuwa na mapenzi sana kupumbaza akili waume zao huku wakijuta moyoni na kujifanya wana huruma sana kumbe bure tu. Usishangae kuona malaya wa Tabata au Sinza kusali mara 5 kwa siku uzeeni au kuwa Mchungaji. Never trust mwanamke mpenda dini, Wakristu wanatombana wenyewe kwa wenyewe kwenye mikesha yao huko makanisani na waimba kwaya wanakulana kinoma kwenye mikesha yao. Waislam wao wanakuwa bize kujifugia majini yao na chuma ulete.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…