Hivi utafanyaje?umeishi na mkeo ktk ndoa,mkajaliwa kupata watoto watatu.Siku moja bahati mbaya unapata ajali na kuumia sana sehemu za mgongoni.Daktari anakucheki na kugundua huwezi kuzaa tena maishani kutokana na spinal chord kudhurika.Siku moja unagombana na mkeo,kwa hasira katikati ya ugomvi anakupa ukweli watoto wote watatu si wako,ali cheat na kuzaa na wanaume wengine,utafanyaje?
nitamng'ata koromeo!:wink2:
Hivi utafanyaje?umeishi na mkeo ktk ndoa,mkajaliwa kupata watoto watatu.Siku moja bahati mbaya unapata ajali na kuumia sana sehemu za mgongoni.Daktari anakucheki na kugundua huwezi kuzaa tena maishani kutokana na spinal chord kudhurika.Siku moja unagombana na mkeo,kwa hasira katikati ya ugomvi anakupa ukweli watoto wote watatu si wako,ali cheat na kuzaa na wanaume wengine,utafanyaje?
Hii story imekaaje, Jamaa amekaa na Mkewe miaka 10 na baadaye anapata ajali, Ninavyoielewa ni kwamba inaonyesha hao Watoto walizaliwa kabla ya Jamaa hajapata ajali.