Usijitoe, usiwekeze, jipe kipaumbrle mwenyewe

Usijitoe, usiwekeze, jipe kipaumbrle mwenyewe

His Eminence

Senior Member
Joined
Sep 22, 2024
Posts
123
Reaction score
376
Ukweli ni kwamba mwanamke unae-date naye kuna uwezekano mkubwa kajiweka tu kwako kwa sababu anahitaji pesa. Ni masikini, hana kazi(kama anayo kipato chake akitoshelezi lifestyle anayoitamani) na kwa sasa wewe ndie jibu la tatizo lake

Atakapojipata ndio utajua ujui. Atakulaumu, atahoji hayo mahusiano, atahitaji nafasi. Usifikiri ni ni bahati mbaya ukweli ni kwamba alishafanya hesabu zake tangu mwanzo.

Acha kujidanganya unapendwa. Mwanamke hakupendi isipokua anakutumia. Mwanamke anapokua mawindoni kutafuta mume, haaangalii character ya mwanaume. Anaangalia wallet, status, power na resources. Usipumbazwe na commitment yake kwako, kama anakutegemea kifedha kaa kitalaamu.

Usikae kizembe, utapigwa. Kama unafikiri nakudanganya angalia mifumo ya kisheria inavyomkandamiza mwanaume. The system always play to woman's advantage. This isn't women empowerment, it's legalized scam.

Ataondoka na watoto, nusu ya mali zako na utawajibika kumpa hela ya matumizi kila mwezi. Kumbuka hataishia hapo atakutangaza wewe ni mtu mbaya, atakusemea uongo na kukutumia kama mfano wa mapito magumu aliyokutana nayo.

Look am not saying all women are after money, but a lot are driven by financial motives. You need to be sharp enough to recognize the signs. Always make sure your finances are protected.

Sikufundishi kuogopa wanawake isipokua nakufungua akili ujue mfumo sio fair kwa mwanaume ili uji-adjust kitaalamu kama legendary Achraf Hakimi.

Achana na ujinga unaoambiwa wa ishi nao kwa akili na inferior complexity. Kumbuka hata ukiwa alpha male utakapopigwa tukio utakutana na consequences zile zile atakazokutana nazo simp. Sheria haziangalii kama wewe ni alpha male au simp.

Katika mahusiano yako usijitoe, usiwekeze, jipe kipaumbele wewe mwenyewe. Focus iwe kujijenga wewe mwenyewe badala ya kumjenga mwanamke au kuyajenga mahusiano yako.

Ukijifanya mbishi iyo ni juu yako but the truth is hypergamy don't care about you.
 
Ipo tofauti ya kujipenda mwenyewe na kuwa mbinafsi. Wengi wanajiongeza kwenye ubinafsi wakijitetea eti wanajipenda wenyewe. Kujipenda mwenyewe hakupunguzi kiu ya kuwapenda wengine
 
20240917_130312.jpg
 
Huyu Baltazar naona amesababisha vijana wame haribikiwa akili kabisa....😂
 
Alarm 🚨 zimekua nyingi sana 🤣🤣 wanaume wa sasa hiv hawataki kabisa Uume wa majukumu.
 
Nchi imekuza vijana wabinafsi sana! Hivi na huo uchoyo ulio nao watoto wako watakula kweli? Mwanaume unaanzisha mada kabisa ya kibinafsi namna hii 🤣🤣 aisee !!!
 
WEWE NI BAHILI

fullstop
Hapana Huyo Jamaa Yuko Sahihi.
Mi Mke wangu tulifikishana mpaka Mahakamani
Namshukuru Mzee mmoja ambae sio ndugu yangu, alikuja Jandoni na Kunifunza kitu
Alisema kwa Kiluga.
" Nkongwe unamwaulile kila Chinu,ipari liduva, anakuiludyanga, nkongwe cha lota, ni Vinu, ikaanao ulo Muchu"
Kulota kuve muntima, wo ntama unakulambilange, ikaa umanya,nkongwe ana nannota Chinu nume chalota chauvee nao"
Iipali liduva unaikaa pariduva, mwa wa nkongwe, lo la umwaulila anakutenda Chinu Mmuchu "
TAFSIRI YAKE.
" Mwanamke usimwambie kila Kitu, ipo siku atakuzalilisha,au kukuzalau. Mwanamke anachoitaji ni Vitu sio kuitaji mwanaume. Kaa nae ukitazama mbele. Kupenda kuko moyoni lakini Moyo usikudanganye,kaa ukijua mwanamke Hana Upendo na mwanaume ila anaupendo na Vitu vya mwanaume au vile unavyomiliki.
Ipo siku utaa juani, akimaanisha kuteseka kwa ajiri ya mwanamke, yake Yale unayomwambia ndoto atakayo yatumia kukudhuru Baadae"
................
Alichonifunza huyo Mzee kimenisaidia ktk Maisha yangu
Mke alikua anaejua nyumba mmoja tu na Biashara 2.
Mbona Tuligawana mahakamani...
Kumbe. Nilificha baadhi ya Mali zangu na Nyumba zangu, bila hivyo haa mke angenikomba hawa wanawake sio watu wazuri hata kidogo pia Sheria inawabeba sana, na Sheria unatukandamiza wanaume.
 
Hapana Huyo Jamaa Yuko Sahihi.
Mi Mke wangu tulifikishana mpaka Mahakamani
Namshukuru Mzee mmoja ambae sio ndugu yangu, alikuja Jandoni na Kunifunza kitu
Alisema kwa Kiluga.
" Nkongwe unamwaulile kila Chinu,ipari liduva, anakuiludyanga, nkongwe cha lota, ni Vinu, ikaanao ulo Muchu"
Kulota kuve muntima, wo ntama unakulambilange, ikaa umanya,nkongwe ana nannota Chinu nume chalota chauvee nao"
Iipali liduva unaikaa pariduva, mwa wa nkongwe, lo la umwaulila anakutenda Chinu Mmuchu "
TAFSIRI YAKE.
" Mwanamke usimwambie kila Kitu, ipo siku atakuzalilisha,au kukuzalau. Mwanamke anachoitaji ni Vitu sio kuitaji mwanaume. Kaa nae ukitazama mbele. Kupenda kuko moyoni lakini Moyo usikudanganye,kaa ukijua mwanamke Hana Upendo na mwanaume ila anaupendo na Vitu vya mwanaume au vile unavyomiliki.
Ipo siku utaa juani, akimaanisha kuteseka kwa ajiri ya mwanamke, yake Yale unayomwambia ndoto atakayo yatumia kukudhuru Baadae"
................
Alichonifunza huyo Mzee kimenisaidia ktk Maisha yangu
Mke alikua anaejua nyumba mmoja tu na Biashara 2.
Mbona Tuligawana mahakamani...
Kumbe. Nilificha baadhi ya Mali zangu na Nyumba zangu, bila hivyo haa mke angenikomba hawa wanawake sio watu wazuri hata kidogo pia Sheria inawabeba sana, na Sheria unatukandamiza wanaume.
Tatizo ukificha mali zako alafu ukatangulia mbele za haki,mali zako nazo zitapotelea huko uliko zificha! Wakati huo familia yako inapata shidaa wakati watu wesha jimilikisha mali zako!!
 
Hapana Huyo Jamaa Yuko Sahihi.
Mi Mke wangu tulifikishana mpaka Mahakamani
Namshukuru Mzee mmoja ambae sio ndugu yangu, alikuja Jandoni na Kunifunza kitu
Alisema kwa Kiluga.
" Nkongwe unamwaulile kila Chinu,ipari liduva, anakuiludyanga, nkongwe cha lota, ni Vinu, ikaanao ulo Muchu"
Kulota kuve muntima, wo ntama unakulambilange, ikaa umanya,nkongwe ana nannota Chinu nume chalota chauvee nao"
Iipali liduva unaikaa pariduva, mwa wa nkongwe, lo la umwaulila anakutenda Chinu Mmuchu "
TAFSIRI YAKE.
" Mwanamke usimwambie kila Kitu, ipo siku atakuzalilisha,au kukuzalau. Mwanamke anachoitaji ni Vitu sio kuitaji mwanaume. Kaa nae ukitazama mbele. Kupenda kuko moyoni lakini Moyo usikudanganye,kaa ukijua mwanamke Hana Upendo na mwanaume ila anaupendo na Vitu vya mwanaume au vile unavyomiliki.
Ipo siku utaa juani, akimaanisha kuteseka kwa ajiri ya mwanamke, yake Yale unayomwambia ndoto atakayo yatumia kukudhuru Baadae"
................
Alichonifunza huyo Mzee kimenisaidia ktk Maisha yangu
Mke alikua anaejua nyumba mmoja tu na Biashara 2.
Mbona Tuligawana mahakamani...
Kumbe. Nilificha baadhi ya Mali zangu na Nyumba zangu, bila hivyo haa mke angenikomba hawa wanawake sio watu wazuri hata kidogo pia Sheria inawabeba sana, na Sheria unatukandamiza wanaume.
Mkuu hicho ni kimakonde cha wapi
 
Alarm 🚨 zimekua nyingi sana 🤣🤣 wanaume wa sasa hiv hawataki kabisa Uume wa majukumu.
Tupo kwenye zama za 50/50 anachofanya mwanaume na mwanamke anakiweza. Kumbuka haki sawa inaenda na wajibu sasa.
 
Ukweli ni kwamba mwanamke unae-date naye kuna uwezekano mkubwa kajiweka tu kwako kwa sababu anahitaji pesa. Ni masikini, hana kazi(kama anayo kipato chake akitoshelezi lifestyle anayoitamani) na kwa sasa wewe ndie jibu la tatizo lake

Atakapojipata ndio utajua ujui. Atakulaumu, atahoji hayo mahusiano, atahitaji nafasi. Usifikiri ni ni bahati mbaya ukweli ni kwamba alishafanya hesabu zake tangu mwanzo.

Acha kujidanganya unapendwa. Mwanamke hakupendi isipokua anakutumia. Mwanamke anapokua mawindoni kutafuta mume, haaangalii character ya mwanaume. Anaangalia wallet, status, power na resources. Usipumbazwe na commitment yake kwako, kama anakutegemea kifedha kaa kitalaamu.

Usikae kizembe, utapigwa. Kama unafikiri nakudanganya angalia mifumo ya kisheria inavyomkandamiza mwanaume. The system always play to woman's advantage. This isn't women empowerment, it's legalized scam.

Ataondoka na watoto, nusu ya mali zako na utawajibika kumpa hela ya matumizi kila mwezi. Kumbuka hataishia hapo atakutangaza wewe ni mtu mbaya, atakusemea uongo na kukutumia kama mfano wa mapito magumu aliyokutana nayo.

Look am not saying all women are after money, but a lot are driven by financial motives. You need to be sharp enough to recognize the signs. Always make sure your finances are protected.

Sikufundishi kuogopa wanawake isipokua nakufungua akili ujue mfumo sio fair kwa mwanaume ili uji-adjust kitaalamu kama legendary Achraf Hakimi.

Achana na ujinga unaoambiwa wa ishi nao kwa akili na inferior complexity. Kumbuka hata ukiwa alpha male utakapopigwa tukio utakutana na consequences zile zile atakazokutana nazo simp. Sheria haziangalii kama wewe ni alpha male au simp.

Katika mahusiano yako usijitoe, usiwekeze, jipe kipaumbele wewe mwenyewe. Focus iwe kujijenga wewe mwenyewe badala ya kumjenga mwanamke au kuyajenga mahusiano yako.

Ukijifanya mbishi iyo ni juu yako but the truth is hypergamy don't care about you.
Upo sahihi
 
Back
Top Bottom