kisa tu kupiga simu?? Wanawake akili zao wanazijua wenyeweinaonekana ushatukanwa sana mkuu
Dah!!umenikumbusha kuna siku nilimupigia demu wangu fulani hivi.umenikumbusha kuna msichana jirani yangu akiongea na cm. ile inaita tu
utasikia huyu mbwa anampigia nani. akipokea sasa anavyoongea, laiti ningekuwa ndo mimi ningempigia nahisi na Number ningefuta siku hiyo hiyo. akikata ndo anamtusi balaa.
ulichukua hatua gani??Dah!!umenikumbusha kuna siku nilimupigia demu wangu fulani hivi.
Sasa wakati tunaongea maongezi yetu yalikuwa poa sana tu.
Ile tunaangana hivi sikukata simu muda ule yeye akajua kuwa simu nimeikata.
Uwiiiii!!kwanza nilisikio bonge la tusi na msonyo juu.