Usikilazimishe kifo kikupitie.

Usikilazimishe kifo kikupitie.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kwa experience yangu nimegundua kuwa kuna dhambi mtu akifanya tu kama hajatubu automatically anakuwa ameanza kufa ndani hivyo maisha yake yanapunguzwa au kukatwa kabisa. Siwezi kukuorodheshea aina ya dhambi za mauti ila jitahidi kuepuka dhambi. Kuna dhambi ukiitenda tu mbingu zinaandika kuwa umefanya dhambi ya mauti baada ya hapo kitakachofuata ni kifo.
Wengi sana wamekufa pre mature kwasababu ya dhambi.
Screenshot_20240823-093402.jpg
 
Au mie ndo sijaelewa,kwamba ukiishi muda mrefu duniani na kuishi muda mfupi neno kufa Lina utofauti?
 
Ndugu yangu,tuusiane kutenda mema tu....tuusiane tusiumizane...Ila kutishia kifo Kuna watu hutamani kufa kila siku kwa namna changamoto za maisha zilivyowaandama
 
Back
Top Bottom