Usiku Mwema Bw.Mwina Self Mohamed Kaduguda, umenifanya nisikuamini na kukudharau sana

Usiku Mwema Bw.Mwina Self Mohamed Kaduguda, umenifanya nisikuamini na kukudharau sana

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Juzi Bw.Kaduguda umekaririwa katika vyombo vya habari na nikakusikiliza vzr sana ukimshambulia vikali mshambuliaji Leonel Ateba eti sio striker kwa sababu za kitoto kabisa kuwa ana assist nyingi kuliko mabao.

Ukasema kwa kutamba kabisa kuwa duniani kipa kazi yake ni kuokoa, beki kazi yake ni kulinda na mshambuliaji hana kazi nyingine zaidi ya kutupia.

Ukasema haiwezekani uwe mshambuliaji halafu una assist nyingi kuliko magoli uliyofunga, ukaiponda sana Simba kuwa Haina management nzuri.

Ukalalamika kwa kusema kuwa ni aibu kwa Simba na yanga hadi Leo hazijaingia nusu fainali wakati wewe umekaa pale Simba kama mwanachama na baadae kiongozi lakini ulishindwa

Kwa kweli Kaduguda, Mimi nilikuwa nakuheshimu sana, Mimi nilikuwa nakupenda sana tangu ukiwa mwandishi wa habari gazeti la Majira.Ulikuwa ukijiita mwenyewe socio scientist cum journalist.

Leo Ndugu Kaduguga, Bw.Ateba amekuprove wrong. Ateba ni zaidi ya striker Mzee Kaduguga.Angalia mikimbio yake, nguvu na anapokuwa na mali humpokonyi, Ateba amewasumbua sana waarabu Leo, Lile goli la kwanza alilofunga ni tabia za washambuliaji aina ya akina Haaland.Kosa Moja Ateba kawaadhibu.

Ateba huyo huyo kapewa mali na Jean Charkes Ahoua akaweka kambani lakini mwamuzi aliyekuja kuchezesha kwa majarionio akakataa.

Hivi Kaduguga unadhani Leo winga angekuwa Elie Mpanzu wale waarabu c wangekufa BAO 6 Leo maana Mpanzu navyomjua anaingia hadi sebuleni kwa kuwalamba chenga mabeki.Au wewe ndio umemloga Mutale

Wana Simba wamekukasirikia sana kwa maneno Yako ya shombo, kwanza wewe ni msomi halafu umekuwa kiongozi na pia ni mwandishi wa habari mkongwe, unajua athari za kuongea hovyo kwenye media, Simba inakaribia kucheza na mwarabu badala ya wewe kuwatia moyo vijana umekimbilia kwenye media kuwashusha morali, kweli Kaduguda we ni Simba kweli?

Kaduguda unashindwa Nini kwenda ofisi za Simba ukaeleza unayojua na kutoa ushauri wako hadi unataka kuharibu umoja ndani ya klabu.

Umenikwaza sana, nimeamini kweli elimu ni maarifa.
 
Huyo kiongozi masilahi mfumo umemuweka kando sasa anawaya ways
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Juzi Bw.Kaduguda umekaririwa katika vyombo vya habari na nikakusikiliza vzr sana ukimshambulia vikali mshambuliaji Leonel Ateba eti sio striker kwa sababu za kitoto kabisa kuwa ana assist nyingi kuliko mabao.

Ukasema kwa kutamba kabisa kuwa duniani kipa kazi yake ni kuokoa, beki kazi yake ni kulinda na mshambuliaji hana kazi nyingine zaidi ya kutupia.

Ukasema haiwezekani uwe mshambuliaji halafu una assist nyingi kuliko magoli uliyofunga, ukaiponda sana Simba kuwa Haina management nzuri.

Ukalalamika kwa kusema kuwa ni aibu kwa Simba na yanga hadi Leo hazijaingia nusu fainali wakati wewe umekaa pale Simba kama mwanachama na baadae kiongozi lakini ulishindwa

Kwa kweli Kaduguda, Mimi nilikuwa nakuheshimu sana, Mimi nilikuwa nakupenda sana tangu ukiwa mwandishi wa habari gazeti la Majira.Ulikuwa ukijiita mwenyewe socio scientist cum journalist.

Leo Ndugu Kaduguga, Bw.Ateba amekuprove wrong. Ateba ni zaidi ya striker Mzee Kaduguga.Angalia mikimbio yake, nguvu na anapokuwa na mali humpokonyi, Ateba amewasumbua sana waarabu Leo, Lile goli la kwanza alilofunga ni tabia za washambuliaji aina ya akina Haaland.Kosa Moja Ateba kawaadhibu.

Ateba huyo huyo kapewa mali na Jean Charkes Ahoua akaweka kambani lakini mwamuzi aliyekuja kuchezesha kwa majarionio akakataa.

Hivi Kaduguga unadhani Leo winga angekuwa Elie Mpanzu wale waarabu c wangekufa BAO 6 Leo maana Mpanzu navyomjua anaingia hadi sebuleni kwa kuwalamba chenga mabeki.Au wewe ndio umemloga Mutale

Wana Simba wamekukasirikia sana kwa maneno Yako ya shombo, kwanza wewe ni msomi halafu umekuwa kiongozi na pia ni mwandishi wa habari mkongwe, unajua athari za kuongea hovyo kwenye media, Simba inakaribia kucheza na mwarabu badala ya wewe kuwatia moyo vijana umekimbilia kwenye media kuwashusha morali, kweli Kaduguda we ni Simba kweli?

Kaduguda unashindwa Nini kwenda ofisi za Simba ukaeleza unayojua na kutoa ushauri wako hadi unataka kuharibu umoja ndani ya klabu.

Umenikwaza sana, nimeamini kweli elimu ni maarifa.
Na pia ni mwalimu wa mpira mzee wa chapati!
 
Juzi Bw.Kaduguda umekaririwa katika vyombo vya habari na nikakusikiliza vzr sana ukimshambulia vikali mshambuliaji Leonel Ateba eti sio striker kwa sababu za kitoto kabisa kuwa ana assist nyingi kuliko mabao.

Ukasema kwa kutamba kabisa kuwa duniani kipa kazi yake ni kuokoa, beki kazi yake ni kulinda na mshambuliaji hana kazi nyingine zaidi ya kutupia.

Ukasema haiwezekani uwe mshambuliaji halafu una assist nyingi kuliko magoli uliyofunga, ukaiponda sana Simba kuwa Haina management nzuri.

Ukalalamika kwa kusema kuwa ni aibu kwa Simba na yanga hadi Leo hazijaingia nusu fainali wakati wewe umekaa pale Simba kama mwanachama na baadae kiongozi lakini ulishindwa

Kwa kweli Kaduguda, Mimi nilikuwa nakuheshimu sana, Mimi nilikuwa nakupenda sana tangu ukiwa mwandishi wa habari gazeti la Majira.Ulikuwa ukijiita mwenyewe socio scientist cum journalist.

Leo Ndugu Kaduguga, Bw.Ateba amekuprove wrong. Ateba ni zaidi ya striker Mzee Kaduguga.Angalia mikimbio yake, nguvu na anapokuwa na mali humpokonyi, Ateba amewasumbua sana waarabu Leo, Lile goli la kwanza alilofunga ni tabia za washambuliaji aina ya akina Haaland.Kosa Moja Ateba kawaadhibu.

Ateba huyo huyo kapewa mali na Jean Charkes Ahoua akaweka kambani lakini mwamuzi aliyekuja kuchezesha kwa majarionio akakataa.

Hivi Kaduguga unadhani Leo winga angekuwa Elie Mpanzu wale waarabu c wangekufa BAO 6 Leo maana Mpanzu navyomjua anaingia hadi sebuleni kwa kuwalamba chenga mabeki.Au wewe ndio umemloga Mutale

Wana Simba wamekukasirikia sana kwa maneno Yako ya shombo, kwanza wewe ni msomi halafu umekuwa kiongozi na pia ni mwandishi wa habari mkongwe, unajua athari za kuongea hovyo kwenye media, Simba inakaribia kucheza na mwarabu badala ya wewe kuwatia moyo vijana umekimbilia kwenye media kuwashusha morali, kweli Kaduguda we ni Simba kweli?

Kaduguda unashindwa Nini kwenda ofisi za Simba ukaeleza unayojua na kutoa ushauri wako hadi unataka kuharibu umoja ndani ya klabu.

Umenikwaza sana, nimeamini kweli elimu ni maarifa.
Mkuu ,huyo ni wakuachana naye tu. Anasumbuliwa na njaa + wivu. Njaa ni mbaya mno , asikwambie mtu.
 
Nyuzi zako huwa zinabadilika kulingana na matokeo gani simba kayapata.
Akishinda ndo kama hivi sifa kedekede, akisare au kufungwa siku nzima ni kuwasagia kunguni wachezaji wote mpaka mwekezaji.
 
Aliemloga Mutale ni Chama...kwa wale waganga wao wa Utopolo huko kizimkazi...
😊😊😊😊😊
 
Kwa mara ya kwanza namuona live pale uwanja wa uhuru (zamani taifa)alikuwa anagombea tiketi ya kuingia uwanjani na kuna maneno anayatoa,toka hiyo siku nikaona huyu mzee dish limepoteza signal.
 
Kwa mara ya kwanza namuona live pale uwanja wa uhuru (zamani taifa)alikuwa anagombea tiketi ya kuingia uwanjani na kuna maneno anayatoa,toka hiyo siku nikaona huyu mzee dish limepoteza signal.
 
We nawewe mtu mzima kabisa..

"KUSHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA AKILI ZINATOKA KICHWANI".
 
Back
Top Bottom