Ndio maana nimetanguliaza msamaha!Si mara yangu ya kwanza
Kusikia hivyo....
Kwa hiyo umemwacha
apigwe na baridi..
Nani tena kakuboa jamani?NtamPM muda ukifika...<br />
Alafu wewe kuna mtu kaniboa leo!!!
Ndio maana nimetanguliaza msamaha!<br />
Mbona wewe still upo macho?<br />
Babito umemwacha na nani?
Hii avatar yako jamani kaaaaNdio maana nimetanguliaza msamaha!
Mbona wewe still upo macho?
Babito umemwacha na nani?
Twende chumbani...
Nani tena kakuboa jamani?
Lol..umenifurahisha!Naangalia rugby<br />
Rugby kwanza halafu yeye...
Kuna giza....
Ooh..poleeSi mpenzi wangu...eti anaangalia mpira wakati mimi namhitaji!!
Nzuri eeh!Hii avatar yako jamani kaaaa
Nimewasha taa muone huko..
Ooh..polee
Vumilia tu, dk 90 si nyingi
Lolz ....Lol..umenifurahisha!<br />
Jamaa ana bahati mbaya sana!<br />
Mimi mamaa kakubali kuwa second choice!
Hahaha...Dakika 90 sio nyingi wakati ni muda kabisa wa kutengeneza mtoto kama sio watoto?!
Mwanzoni nilikuwa siipendi lakini sasa hivi duuuu!Hii avatar yako jamani kaaaa
Hahaha...
Akirudi zilipize hizi dk alizokupotezea.
Hop unajua vizuri namna ya kumpeleka mchaka mchaka!
Nimeona...ila mwanga umezidi bana!!
Afadhali elia umeipendaMwanzoni nilikuwa siipendi lakini sasa hivi duuuu!
Dah..inabidi jamaa basi atumie mbinu mbadala kukurudisha kwenye mood!Sitokua kwenye mood...