Usiku wa Irene Uwoya: Lulu, Uwoya wafunika

Haivi hawa nao watauona ufalme wa mbinguni ?

Au mbinguni tutakua na ndugu zetu kina ebitokee
 
warumi huyo huddah kapigwa gangbang ya maana na watoto wa mjini hapa bongo afu hasira zake anawaletea waTZ wote. Na wangemmaliza tu coz mwenyewe anasema nusura wamuue lkn haikua siku yake kufa.


Hahahaha nimezisikia hizi habari na huddah mwenyewe nimeona akilalamika ila sikuwa na uhakika kama hizi habari ni za kweli ama kama ngoja tumsubiri warumi aje na taarifa zaidi.
 
Ila warumi unavyo simulia unaniacha hoi....... Uwage unatupostia udaku huku kama zamani. Yaani sikuizi umepoa kama mlenda wa juzi... Usitufanyie hivyo bana.

Ahahah nimerud binam, usijal
 
Mimi hata bado sijajua lengo la sherehe ile na zile picha za harusi ya mahakamani

Mwenzangu Yan hawa mastaa wanachezea pesa hatr , si unajua tena pesa za magendo hawana uchungu nazo
 
shukuru mungu bado sijaijua real ident.. yako #warumi
 
Anadai alikua anazindua reality show yake

Nilivoona anaita kila mtu ahutubie na pale wanasema ooohhh hivho ni kitu kikubwa wakati lile ni pazia nikajua tushaingizwa mjini tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…