Usiku wa lady jayde:nitakuwepo kumpa support

Tunaanzia kwa Lady JD then naenda kutoka jasho na kupiga mayowe ya kupagawa na kopo za ukweli pale Isumba lounge zamani jolly club!
Hapa Dj John Dilinga pale bingwa wa kukung'uta yenu Dj Fast Eddy!
Lazima waombe vigoda wakae!
 
Dah! Nna hasira na hili jotoooooo. Wish ningekua dar kumsapoti jide. Watakaa tu wakishatumika na ruge bloodsucker!
#TeamAnaconda


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
wakuu mi nauliza show ya Jide inafanyikia wapi.?
 
wakuu mi nauliza show ya Jide inafanyikia wapi.?

Nyumbani lounge! kama unatumia daladala ukitokea moroko shuka mbuyuni then vuka barabara alafu uliza yeyote atakuelekeza lakini Big Sound itakuelekeza zaidi!
 
Nyumbani lounge! kama unatumia daladala ukitokea moroko shuka mbuyuni then vuka barabara alafu uliza yeyote atakuelekeza lakini Big Sound itakuelekeza zaidi!

shukrani mkuu, hata hivyo mimi nipo maeneo ya Manzese darajani. kwa hiyo kama ni daladala niingie za Mwenge theni Bamaga,kisha zinazoelekea Morocco au.?
 
shukrani mkuu, hata hivyo mimi nipo maeneo ya Manzese darajani. kwa hiyo kama ni daladala niingie za Mwenge theni Bamaga,kisha zinazoelekea Morocco au.?

yaani huna hata kagari ka milioni 6? Mweeee
 
yaani huna hata kagari ka milioni 6? Mweeee
Usikurupuke.
Mimi sio mkazi wa Dar, kulingana na mishemishe zangu kila wiki lazima nitinge hapa mjini.
Hapo kwa jide sipafahamu ndio maana nikawa naulizia vizuri, ila na wewe siku ukija Mbeya ni pm niwe mwenyeji wako.!!
 
Usikurupuke.
Mimi sio mkazi wa Dar, kulingana na mishemishe zangu kila wiki lazima nitinge hapa mjini.
Hapo kwa jide sipafahamu ndio maana nikawa naulizia vizuri, ila na wewe siku ukija Mbeya ni pm niwe mwenyeji wako.!!

Huna gari wewe. Kama unalo kwanini usisafiri nalo kutoka Mbeya? Kitu kingine: Kwanini ufikie Manzese kama kweli una hela? Si ungelala hata Sinza. Hilooooooooo Masikiniiiiiiiiiiiiiiiiiiii...............
 
Mi pia ntakuepo....
ikinyesha tutajua hapohapo
shost unaniangusha twende zetu viwanja vya wajanja kule hakuna ishu,.Mtanyeshewa bure my dear,watabiri wa hali ya hewa wameshatangaza kwamba kesho ni Bonge la mvua,unataka kuharibu foundation yako?
 

hakuna kitu kama icho kazi aliyokutuma umeshaimaliza sasa ni kwenda kula mabaki ya chakula!unashangaa! hawa wageni ni lazima wakaeeeeeee!!!!!!!
 
Ndani ya nyumbani Lounge,watu ni wengi sana,Team Anaconda forever
 
Huna gari wewe. Kama unalo kwanini usisafiri nalo kutoka Mbeya? Kitu kingine: Kwanini ufikie Manzese kama kweli una hela? Si ungelala hata Sinza. Hilooooooooo Masikiniiiiiiiiiiiiiiiiiiii...............

Wewe ndio wale ukiona mwanaume ana Gari tayari chini kunaloa kwenyewe.

Hivi aliekuambai Gari ni utajiri nani.?
Hivi gari ni kitu cha kujisifia au kipimo cha maisha bora ya mtu.?
Hata nikikwambia namiliki gari kadhaa wewe itakusaidia nini na mbaya zaidi hatufahamiani.?

Wewe kweli unatumia 0713 kufikiri.!!

Naona unataka kunisababishia ban ya lazima.!!

Usiniharibie weekend bure.!!
 
Huna gari wewe. Kama unalo kwanini usisafiri nalo kutoka Mbeya? Kitu kingine: Kwanini ufikie Manzese kama kweli una hela? Si ungelala hata Sinza. Hilooooooooo Masikiniiiiiiiiiiiiiiiiiiii...............

Radhia nini tena unafanya ? Ebu changia mada , nyumbani lounge upo ?
 

watu maskini mna hasira sana. Jitu zee zima lakini hohe haheeee. Mwanaume suruali huyoooooooo
 
ndio anapanda jumanature sasa. hili nyomi hakuna pakukanyaga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…