usikubali mtu yeyote akujue hapa jf

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,420
ni makosa makubwa kwa mtu yeyote kukujua au kujua id yako hapa jf
kuna dada mmoja amenijua na tukapeana user name zetu huko facebook
yaani ananifatilia sana halafu inaonekana ni mfuasi wa magamba na mimi nayachukia magamba
nahisi atawaonyesha magamba nyumbani kwangu,sasa hivi nimekosa amani
nimekutana naye jana akaniangalia kwa jicho la husuda
nimekosa amani kabisa hapa jf,naomba msifanye makosa kama hayo wakuu!
 
Thread hii waileta kila siku?
OTIS.
 

raha ya PIPI Mate yakhe ushamwonjecha mate basi tuachie wengine nao wapate raha atiiiiiiiiiiiiiiiiii amiiiiiiiiiii mbona hivyooooooooooooo
 
We ni kati ya watu waoga kabisa duniani, na inaonyesha wazi kabisa kuwa hujiamini!
 
cha msingi ni kuwa na uhakika wa unachokiandika. ingawa tetesi nazo huwa zinasaidia. Kuna tetesi nilitoa ya kiongozi kujimilikisha gari, sasa imepigwa ajua kwa kuhofia wananchi kupoteza imani naye, kwani ana ndoto za kuwania ubunge wilayan kwake.
 
mhh mbona mwoga hivo kwani akiwaonyesha magamba wewe umefanya nini
 
fungu id mpya na usirudie tena..kwanini umwambie Rejao?
 

Vyama vya siasa ni vikundi vya watu kwa ajili ya kupata ridhaa ya wananchi kuiongoza ama kuiendesha nchi hii, hivyo utofauti wa itikadi za kisiasa zisitufanye tuchukiane kiasi cha kushindwa kushirikiana kama Watanzania. Huyo mwanadada anakufuatilia kwa lipi? Kama ni mapenzi mpe 'kitu kikali' hatakufuata tena.
 
Hilo nalo la kkukukosesha amani! Badilisha password haraka.
 
Pole sana lakini alikupa nini mpaka ukajimaliza kiasi hicho? anakuangalia kwa jicho la Husda wala usiogope atakuona hivyo hivyo kama mkwewe,hana la kukudhuru wala asikushugulishe husda zake na choyo zitamrudia mwenyewe,na usizowee tena na wewe ukichekewa tu unatoa siri ungekua na gorofa pia ungempa usirudie tena umesikia........Ngoja The Boss aje ntamweleza atafanya mamuzi....
 
Acha woga mkuu, magamba daily tunakomaa nao mitaani na wanatukimbia. Akija kichwa kichwa mpe za uso tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…