Usikute Elon Musk sio genius ila tu kawekeza kwenye project za akili nyingi

Usikute Elon Musk sio genius ila tu kawekeza kwenye project za akili nyingi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kuna watu hufikiria labda mtu kufanikiwa na kuwa Tajiri sana ni akili na upepo ndio uliomfikisha pale kumbe nyuma kuna watalaam wengi waliomuuzia wazo akalikubali akatia hela na kweli outcomes ikaja. Kwa mfano kina Bahkresa wao wametulia tu makampuni yana management nzuri yanakua.

Yeye haumizi akili maana vitu ni vingi so hata Elon Musk huenda sio genius kivile aliotea tu pesa kwenye PayPal ila project zake hizi nyingine za tech ukute hakuziwaza ma iniator ukute ni watu wengine kabisa.
 
Kuna watu hufikiria labda mtu kufanikiwa na kuwa Tajiri sana ni akili na upepo ndo uliomfikisha pale kumbe nyuma kuna watalaam wengi waliomuuzia wazo akalikubali akatia hela na kweli outcomes ikaja...
Kaikoa tesla wakati hakuna aliyekuwa akiamini kwenye Evs. Space X imeokoa marekani maana tuko walivyoground space shuttle ilikuwa wanatumia nchi za kigeni kama india na urusi kurusha satelite zao.

Ukiacha ukichaa na utapeli wake, jamaa ana maono japo twitter na tesla sasa design kama zina take a deeper dive.
 
Back
Top Bottom