Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
[emoji3][emoji3]
Inawezekana pia
Unamuomba mama simu yake unatekebisha post kabla wanafunzi wenzio hawajaiona
Yani acha rafiki.. Kama mwanajeshiRafiki nasikia una sura ngumu sana![emoji2089][emoji2089][emoji2089]
ila rafiki kama chura ipo sura hata haina faida yoyote!Yani acha rafiki.. Kama mwanajeshi
Ipo size yangu rafiki.. Nashukuru siko bapaila rafiki kama chura ipo sura hata haina faida yoyote!
Rafiki najua ipo,wanawake wengi wenye sura mbaya huwa wanakuwa na chura kama lote halafu huwa sijui hata kwa nini huwa inakuwa hivyo!Kuna dada mmoja hapa mtaani ana sura ya kutisha ila ana chura la kufa mtu!!Ipo size yangu rafiki.. Nashukuru siko bapa
kitu ya kawaida kwa simu zetu za Tecno unaandika Human yenyewe inaandika Women ni sawa na kuandika kurekebisha na hapohapo unapost ss tumeshajua ni kurekebishaUnamuomba mama simu yake unatekebisha post kabla wanafunzi wenzio hawajaiona
Rafiki najua ipo,wanawake wengi wenye sura mbaya huwa wanakuwa na chura kama lote halafu huwa sijui hata kwa nini huwa inakuwa hivyo!Kuna dada mmoja hapa mtaani ana sura ya kutisha ila ana chura la kufa mtu!!
Rafiki naona umejitahidi sana kukunja mdomo ili na wewe uwe mzuri![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahhaa.. Huyo avatar ni aggy huyo
Maybe ni typing error, maana hizi simu janja nazo balaa.
Hivi kaka Ukwaju na kufananisha ama ni wewe 🤔kitu ya kawaida kwa simu zetu za Tecno unaandika Human yenyewe inaandika Women ni sawa na kuandika kurekebisha na hapohapo unapost ss tumeshajua ni kurekebisha
Over
Naona umejitahidi sana kukunja mdomo ili na wewe uwe mzuri![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kweli aisee..Mama anatumia tecno, akakosea kuandika neno human, alipobonyeza space bar ikafanya auto correct, ikaandika women, mama bila kujua akapost
ni mm yule mbona umebadili Avarta na kujiunga juzi Novemba wakati uchangiaji wako ni wa uzoefu?Hivi kaka Ukwaju na kufananisha ama ni wewe 🤔