Usilalamikie kodi kwa Luku, imekuwepo kwa muda mrefu na tumekuwa tukiilipa kila mwaka

Usilalamikie kodi kwa Luku, imekuwepo kwa muda mrefu na tumekuwa tukiilipa kila mwaka

Jeremiah Stephin

Senior Member
Joined
Feb 6, 2014
Posts
118
Reaction score
124
[emoji117]Ila kuhusu kodi ya majengo kuna watu wanalalamika bure tu, Kodi hii ipo kwa muda mrefu na tumekuwa tukilipa kila mwaka kilicho fanyika ni serikali kuongeza wigo wa kuipata hiyo pesa maana kuna watu wengi sana wanakwepa kulipia kodi hii ya majengo

[emoji117]So kuilipa kwa kutumia Luku haina tofauti sana na namna ambavyo tulikuwa tunalipia zamani kwakuwa gharama ni ilele ila njia ya kulipia tu ndio imebadilishwa

[emoji117]Hii itaondoa usumbufu kwa serikali kuwafatilia wanaokwepa hii kodi pia itaondoa usumbufu wa kulipia cause hauna haja tena ya kwenda TRA na serikali itapata pesa nyingi zaidi kuna halmashauri nyingi tu hasa za DC watu hawalipii kabisa kodi ya majengo yao.

[emoji117]Wasiokuwa na umeme kwenye nyumba zao waendelee kulipia kwa utaratibu wa zamani

Jeremiah Kipoya
 
Wewe ni Pimbi kutoka nchi ya Tozonia🐒🐒🐒
605758310.jpg
 
Hapa kijijini watu wananunua umeme wa buku leo nyumba zote ni giza.

Kama namba tumeshasoma hadi za kirumi tunasoma.

Chukueni roho zetu sasa.
 
Ni kheri Mjerumqni na Mwingeleza aliweka kodi moja ya kichwa ukilipa umejitoa....sasa leo hii Tanzania ni balaaa tupu.
..kodi lukuki
 
Msitufanye wajinga!!! Na mwenye nyumba hii hapa chini amekuwa akilipa hiyo Kodi?? Hili nalo ni jengo?

images.jpeg
 
Ni kheri Mjerumqni na Mwingeleza aliweka kodi moja ya kichwa ukilipa umejitoa....sasa leo hii Tanzania ni balaaa tupu.
..kodi lukuki


Kodi ya kichwa??!! 😲--- kodi ya miguu je??
 
Hapa kijijini watu wananunua umeme wa buku leo nyumba zote ni giza.

Kama namba tumeshasoma hadi za kirumi tunasoma.

Chukueni roho zetu sasa.
Natamani nitoke nje usiku nikiwa uchi NIITUKANE hii bunge na wizara zake matusi yote ya duniani lbd nitatoa hasira ninazo kifuani
 
Wewe wa wapi?
Kwenye luku wapangaji wanamlipia mwenye nyumba
Huoni ni tatizo hilo?!
Wataka kwenye kodi ya pango, isiwe shida mwenye nyumba akubali kupokea kodi pungufu kutokana na kodi ya nyumba!!! Au vipi kamanda!?
 
Kodi ya kichwa??!! 😲--- kodi ya miguu je??
Kulikuwa na kodi ya kichwa enzi hizo...soma historia

Bora CCM warudishe hiyo tujue moja...ili ukilipa then unajitoa mwaka mzima.
 
Sasa wapangaji ndo tutakoma maana sidhani kama wenye nyumba watatuelewa kuturudishia pesa pindi tutakaponunua luku
MUNGU TUSAIDIE TENDELEE TUISHI KWA UVUMILIVU
 
Wataka kwenye kodi ya pango, isiwe shida mwenye nyumba akubali kupokea kodi pungufu kutokana na kodi ya nyumba!!! Au vipi kamanda!?
Sheria gani inamlazimisha kupokea kodi pungufu baada ya mpangaji kukatwa kwenye luku?
 
[emoji117]Ila kuhusu kodi ya majengo kuna watu wanalalamika bure tu, Kodi hii ipo kwa muda mrefu na tumekuwa tukilipa kila mwaka kilicho fanyika ni serikali kuongeza wigo wa kuipata hiyo pesa maana kuna watu wengi sana wanakwepa kulipia kodi hii ya majengo

[emoji117]So kuilipa kwa kutumia Luku haina tofauti sana na namna ambavyo tulikuwa tunalipia zamani kwakuwa gharama ni ilele ila njia ya kulipia tu ndio imebadilishwa

[emoji117]Hii itaondoa usumbufu kwa serikali kuwafatilia wanaokwepa hii kodi pia itaondoa usumbufu wa kulipia cause hauna haja tena ya kwenda TRA na serikali itapata pesa nyingi zaidi kuna halmashauri nyingi tu hasa za DC watu hawalipii kabisa kodi ya majengo yao.

[emoji117]Wasiokuwa na umeme kwenye nyumba zao waendelee kulipia kwa utaratibu wa zamani

Jeremiah Kipoya
Wanaolalamika ni wale ambao,hawalipi kodi yoyote,huwa wanakwepa kulipa kodi,kwa waliokuwa wakilipa kodi,toka zamani,hawalalamiki.
 
Hapa kijijini watu wananunua umeme wa buku leo nyumba zote ni giza.

Kama namba tumeshasoma hadi za kirumi tunasoma.

Chukueni roho zetu sasa.
Fanyakazi,acha uvivu,ukifanyakazi utapata pesa,utajikimu katika mahitaji yako.Acha kulia lia.
 
Wewe wa wapi?
Kwenye luku wapangaji wanamlipia mwenye nyumba
Huoni ni tatizo hilo?!
Watapigiana mahesabu,kwenye kulipana kodi.Mbona nikawaida,katika kodi,ya zuio(with holding Tax),mpakaji analipa TRA,wakati wa kulipana kodi ya nyumba,mpangaji anakata pesa aliyolipa kwenye kodi ya nyumba.
 
Back
Top Bottom