xir jyerphy
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 994
- 184
- Thread starter
-
- #101
na wangekuharibu sura hiyo! mwishowe kababy anakuacha kizembe
waaaapiiii! ngoja akusikie unavyomkana kama hajakumwaga ohooo! shaurilo
Du! Hatari! Mpaka funguo fake za bentley! Sijui fake ni funguo au bentley yenyewe ndio fake!
utakimbia na
..mkononi.
Akina yahaya utawaweza wewe, hapo anachongesha funguo za kizushi af mda wote utamuona unazagogesha goshesha, mara mdomoni, mara kumpointia mtu.... hasara tupu kwa hawa vijana
hatumiagi izo mwenzio!
yalishamkuta eee
Hapa penyewe nishavurugwa sura, basi tuu chench chench ndio zinamconvince bebito
ahahahaaa! yahaya bwana! noma sanaa!
ahahahaaaaaa! niache nicheke mie
inabidi nianze kuyajua maduka kibao kwa ajili ya shopping
inabidi nianze kuyajua maduka kibao kwa ajili ya shopping
hatumiagi izo mwenzio!
Ushawai kuingia mikononi mwa yahaya nini,, mbona unawalaani sani!!
Yaleyale ya westgate mall shopping centre... chezea #alshabaab
Nitake radhi mkuu, me mteja mkubwa wa hizo mambo
Unakuta binti katoka maswa mwanuzi mshamba akifika chuo anabadilikaa,alikuwa hajawahi kwenda club sasa ndio anaenda ,nyumbani kabanwa chuoni uhuru,akirudi likizo maswa anajifanya kashasahau kisukuma
Yaleyale ya westgate mall shopping centre... chezea #alshabaab