Usilete swaga za nai-nai uka......!!!??

Unakuta binti katoka maswa mwanuzi mshamba akifika chuo anabadilikaa,alikuwa hajawahi kwenda club sasa ndio anaenda ,nyumbani kabanwa chuoni uhuru,akirudi likizo maswa anajifanya kashasahau kisukuma

heheheh wapo wa hivyo wengi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…