Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Sikonge,Tutuo,Ipole,Chabutwa ,Mibono,Usunga one,kulikuwa hakuna Shule ya sekondari hata moja,hadi ilipofika 1995 ndiyo ikaanziahwa Ngulu sekondari.

Mtunzi ni wa mchongo.
Tatizo la nchi yetu ya Tanzania tuna watu wengi sana ni wajinga, yani sijui wengine shuleni mlienda kufanya nini.

"Nilizaliwa mwishoni mwa miaka ya themanini"

Hapo wapi kasema amesom sekondari kabla ya 1995?
 
Duu Sasa ikiwa ukweli ama uwongo itamsaidia Nini kwenye maisha yake. Itaongeza ama kutoa shilingi yyte mfukoni kweli. Nazidi utofauti wetu. Mie huwa Kuna vitu nakuwaga makini nukta kwa nukta mfano suala la pesa,mradi fulani wenye tija
 
Doh![emoji26] Pole sana Mkuu, haya maisha kama hujapitia changamoto unaweza hisi ni story tu hakuna mambo kama haya...
 
Hawa watu huwa wanatuzidi tu akili basi wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…