Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Mkuu mkiwa mnasubiri saa 10 ifike si ungepanda daladala na kwenda kwa Da Jane uchukue namba ya Sity na za kwake kisha uwaambie umepata mchongo, maana walikusaidia sana

Au jamaa angekuacha?
Mtu ana majanga kibao
Akienda kwa Da J hapo anaweza kutana na msala mwingine akawekwa ndani na polisi mishe ya Kongo ikaisha
Acha atulie tu hapo hapo
 
ukisoma shule hadi levo za juu, na usiwe na kazi rasmi, wala mchongo wa kukuingizia kipato; ni rahisi sana kudhani kwamba umepoteza tu muda masomoni. Hasa ukijiangalia kulingana na walioishia hatua za mwanzoni na kujikita katika shughuli za utafutaji. Lakini ukiangalia kwa makini utagundua kuwa kuna mambo mengi sana shule inakusaidia kuya- handle, na ukiachilia mbali kipato, una mtaji mkubwa mno wa uelewa wa mambo mbalimbali ya kimaisha kiujumla.
 
Bila shaka unazungumzia elimu kw nchi za wenzetu huko, si ndio?
 
Mi naweza kuwa na madhambi kuliko ya jamaa ila sijawahi kukutwa na mabalaa kiasi hicho.
Ni bahati tu inakuwa mbaya au nzuri
Sahh asee watu wanapenda kujipa imani ambazo sizo mala laana cjuh wakat mm bnafsi siamin laana labd kutoka kwa mama tu tfaut na hapo hapn ni vile bahat mbya na mapito tu katk maisha
 
Safiii mtoa uzi hakuna kufata maneno ya wapingaji ww songa mbele kwa mbele tu [emoji119][emoji119]
 
Mimi ni nani nikupinge mkuu
 
Loh umeenda tena sehemu nyingine usikokujua ☹️☹️
 
Na muda ambao jamaa alikua away unakuta ashapata mwamba na anakojozwa vizuri tu
Kabisa!maana miezi sita ya gerezani plus mitatu sijui ya kiwandani Sitty mtoto wa magogoni atakuwa keshajiongeza....halafu Ndio amrudie na story eti nilifungwa Hapana kwa kweli inabidi akomae siku akirudi awe tununu Sitty Ndio atafurahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…