KERO Usimamizi mbovu mradi wa maji kijiji cha Uhindi kata ya Uyowa, Kaliua

KERO Usimamizi mbovu mradi wa maji kijiji cha Uhindi kata ya Uyowa, Kaliua

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Mimi ni mkazi wa kijiji cha Uhindi, kata ya Uyowa, wilaya ya Kaliua, mkoa wa Tabora, kero yangu ni kuwa hapa kijijini kuna mradi wa maji kwa ufadhili wa Benki ya Dunia.

Mradi huu kwa sasa umetelekezwa pesa ambayo waliachiwa kwa ajili ya kuendeleza mradi imeliwa na hakuna udhibiti ukusanyaji mapato katika mradi huu.

Naiomba Serikali iwaleta watu wa idara ya maji wasimamie mradi na waweze kusambaza maji kwa watu na wawe wanalipia kwa control number kama mjini, hii itasaidia kudumu kwa mradi na kuongeza mapato.

cc Wizara ya Maji
 
Mimi ni mkazi wa kijiji cha Uhindi, kata ya Uyowa, wilaya ya Kaliua, mkoa wa Tabora, kero yangu ni kuwa hapa kijijini kuna mradi wa maji kwa ufadhili wa Benki ya Dunia.

Mradi huu kwa sasa umetelekezwa pesa ambayo waliachiwa kwa ajili ya kuendeleza mradi imeliwa na hakuna udhibiti ukusanyaji mapato katika mradi huu.

Naiomba Serikali iwaleta watu wa idara ya maji wasimamie mradi na waweze kusambaza maji kwa watu na wawe wanalipia kwa control number kama mjini, hii itasaidia kudumu kwa mradi na kuongeza mapato.

cc Wizara ya Maji
Jambo hili linafanyiwa kazi zaidi kujua hali halisi.
 
Hatua inachukuliwa, (utaona mabadiliko siku chache za usoni), kwa kuanza na eneo la ufundi ili kuleta matokeo bora, kwa kuweka mfumo unaotumia nishati ya jua badala ya mafuta, pia kuongeza kisima cha pili. Hatua hii itawezesha huduma kuwa bora zaidi katika maeneo hayo.
 
Back
Top Bottom