Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 378
- 510
WAKATI MWINGINE VIJANA WENGI WA KIUME HATUPOKEI BARAKA KWA SABABU HII KUBWA. UKIACHA TABIA HIZI, UTAJIRI NI SEHEMU YAKO
Ni ujinga kumdharau Mama yako aliyekuzaa amekusaidia umefika hapo ulipofika leo hii na bado leo unakosana na mtu mwingine kazi kutaja viungo vya aliyekuzaa.
Ni ujinga kumdhalilisha Mwanamke wakati umezaliwa na Mwanamke.
Ni ujinga pia kumdharau Mwanamke wakati unatarajia kumuoa Mwanamke.
Na ni Ujinga zaidi kumchezea Mwanamke wakati unatarajia kuzaa mtoto wa kike.
Unakuta Mwanaume mzima anapigana na mwanamke bila hata woga au hofu ya MUNGU.
Ni ujinga kumdharau Mama yako aliyekuzaa amekusaidia umefika hapo ulipofika leo hii na bado leo unakosana na mtu mwingine kazi kutaja viungo vya aliyekuzaa.
Ni ujinga kumdhalilisha Mwanamke wakati umezaliwa na Mwanamke.
Ni ujinga pia kumdharau Mwanamke wakati unatarajia kumuoa Mwanamke.
Na ni Ujinga zaidi kumchezea Mwanamke wakati unatarajia kuzaa mtoto wa kike.
Unakuta Mwanaume mzima anapigana na mwanamke bila hata woga au hofu ya MUNGU.