Usimfanye mkeo raha akazitafute nje ya ndoa!

unajuaje labda tunaenda kuchukua ujuzi huko nje na kuuleta ndani... lol

Mkuu nimekusoma..............
Lakini ndo yale yale siku zote huwa tuasikia,
mwanamke akijaribu kuonyesha maufundi yake,
ambayo awali hukuyaona, baba nae anaweza akaanza kuhoji.....................
 
well said
mke sio dada mtu (sishangai huyo kungwi kuwaza hivi manake ni mtu wa Pwani-ngono first)
 
Kuna shda kubwa sn kwenye haya mambo. Utakuta mwanamke anahudhura kila kitchen-party, lkn akija ndani amechoka mbaya na hana mpango na mtu.. Hiz shughuli zmekaa kimaslaha zaidi.
 
Kuna shda kubwa sn kwenye haya mambo. Utakuta mwanamke anahudhura kila kitchen-party, lkn akija ndani amechoka mbaya na hana mpango na mtu.. Hiz shughuli zmekaa kimaslaha zaidi.

Sasa Paka Jimmy ndo utuambie hapa,
kinachowachosha ni nini mara tu wanapoingia ndani?
 

you are very right.......
 
Hivi Aisha mambo ya malavidavi,
huwa ni kwa watu wa Pwani tu eeeeh?
Wa Bara sie hayatuhusu lol......kazi kweli kweli!!!!!!!

We acha tu ndugu yangu,
kwa watu wa bkb hayo mambo wamekuja kuyajua wameishaingia ktk ndoa zao make kule hata kitchen party hazikuwepo walikuwa wanaona kama wanawafundisha ufusika
 
We acha tu ndugu yangu,
kwa watu wa bkb hayo mambo wamekuja kuyajua wameishaingia ktk ndoa zao make kule hata kitchen party hazikuwepo walikuwa wanaona kama wanawafundisha ufusika

Sasa Aisha unasemaje hapo,
ni kweli akina baba wanapendelea kupeleka ufundi,
na maujuzi yote nje?
 
Sasa Paka Jimmy ndo utuambie hapa,
kinachowachosha ni nini mara tu wanapoingia ndani?
Mikimiki ya sherehe za jikoni...wanakatika huko weeeeee wakirudi nyumbani nguvu hamna!
 
Unachokifata nje umekiacha ndani mie ndo napochoka kabisa Ehh Mwenyezi Mungu nisaidie niendelee kumpenda mke wangu na kumuheshimu nisitoke nje ya ndoa
 

Nimeipenda hii.
 
Unachokifata nje umekiacha ndani mie ndo napochoka kabisa Ehh Mwenyezi Mungu nisaidie niendelee kumpenda mke wangu na kumuheshimu nisitoke nje ya ndoa

sounds good.....................
keep it up................
 
Mikimiki ya sherehe za jikoni...wanakatika huko weeeeee wakirudi nyumbani nguvu hamna!

Mmmmh,
sasa hii mikatiko kwanini hawapeani wakiwa wote nyumbani?
 
Sasa Aisha unasemaje hapo,
ni kweli akina baba wanapendelea kupeleka ufundi,
na maujuzi yote nje?

Sasa hapo wanaume ndo wanatakiwa watujuze kama kweli maujuzi yote wayanapeleka nje.
 
Jamani, ni kweli wakina baba wanajisahau sana, matokeo yake wanawake wanakwenda kutafuta raha kwa mahawara (SOME OF THEM ARE MARRIED MEN).

What I have learn, new love (hawara) is very exciting, you can not compare with your spause!

Enyi wakina dada wenzangu, wakumbusheni waume zenu... kama unavyodai khangam basi dai na kukumbusha haki yako, by the way, magonjwa mwengi sana siku hizi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…