Usimwamini kwa ngozi yake tu, utaumia

Usimwamini kwa ngozi yake tu, utaumia

Teleskopu

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2017
Posts
702
Reaction score
767
Mbele ya kamera barakoa sana kwa ajili yetu.

Nje ya kamera hakuna barakoa kwa ajili ya afya yake. Hata social distancing hakuna!

001.jpg

002.jpg


Read between the lines.
 
Mbona huyo mama ana barakoa hapo amaishusha ili kuweza kuongea na mtu vizuri?
 
Mbona huyo mama ana barakoa hapo amaishusha ili kuweza kuongea na mtu vizuri?
Sasa kwa akili ya kawaida ni wakati gani barakoa inapaswa iwekwe vizuri wakati unaongea na mtu karibu au wakati mmesimama kusikiliza mhadhara kwa mfano.

Sijui kama umewazuia kufahamu sababu ya kuwa na barakoa
 
Wote hawa wamechanjwa. Hapa kuna wengine wamevaa barakoa. Huyu mama nafikiri ni Nancy Pelosi , Spika wa Bunge anaongea na mshikaji wake- tatizo liko wapi? Acha kupenyeza agenda ambayo haipo. Watanzania tuchukue tahadhari kama wataalam wanavyotushauri. Marekani ni nchi tajiri, uwezo mkubwa wa kutibu wagonjwa wa korona kuliko sisi. Hapa Tanzania - tutaishiwa mitungi ya oksijeni haraka - wagonjwa wakiwa wengi.
 
Ngozi nyeusi mna tabu. Hujalazimishwa kuvaa
 
Ngozi nyeusi mna tabu. Hujalazimishwa kuvaa
Wala hakuna aliyesema tumelazimishwa mkuu. Hii ni psychological warfare. Unadhani kampeni na matangazo ya biashara huwa vina maama gani? ----------- MIND CONTROL.
 
Wote hawa wamechanjwa. Hapa kuna wengine wamevaa barakoa. Huyu mama nafikiri ni Nancy Pelosi , Spika wa Bunge anaongea na mshikaji wake- tatizo liko wapi? Acha kupenyeza agenda ambayo haipo. Watanzania tuchukue tahadhari kama wataalam wanavyotushauri. Marekani ni nchi tajiri, uwezo mkubwa wa kutibu wagonjwa wa korona kuliko sisi. Hapa Tanzania - tutaishiwa mitungi ya oksijeni haraka - wagonjwa wakiwa wengi.
Mkuu, sioni kama wana sifa hizo unazowamwagia. Wako kama sisi tu. Ila swali la msingi ni kuwa, kilichowafanya wapige picha na mask ni kipi; na kilichowafanya wavue ni kipi?

Screen Shot 2021-09-14 at 8.56.02 AM.png

Source: CDC - COVID-19 Vaccination
 
Kuna muda wa maisha binafsi na kuna muda wa maisha ndani ya utaratibu.Sidhani kama hapo kuna jambo lolote la maana zaidi ya kushindwa kwako kuelewa kua hao ni binadamu wana maisha binafsi na wana maisha ndani ya sheria na taratibu zilizowekwa mahali husika.Ata hapa tanzania kuna ofisi ukifika bila kunawa mikono na kuvaa barakoa huruhusiwi kuingia na ukiingia ndani watumishi wote wamevaa barako lakini ukitoka nje watumishi hao hao unakutana nao hawajavaa.Sasa ukijua kutofautisha haya maisha utaondoa ilo giza kichwani kwako.
 
Kuna muda wa maisha binafsi na kuna muda wa maisha ndani ya utaratibu.Sidhani kama hapo kuna jambo lolote la maana zaidi ya kushindwa kwako kuelewa kua hao ni binadamu wana maisha binafsi na wana maisha ndani ya sheria na taratibu zilizowekwa mahali husika.Ata hapa tanzania kuna ofisi ukifika bila kunawa mikono na kuvaa barakoa huruhusiwi kuingia na ukiingia ndani watumishi wote wamevaa barako lakini ukitoka nje watumishi hao hao unakutana nao hawajavaa.Sasa ukijua kutofautisha haya maisha utaondoa ilo giza kichwani kwako.
wadudu wa magonjwa "HATARI" nao wanajua hayo?
 
Back
Top Bottom