Fungua tu,, huenda ukapata bahati 😃😃😃Vp nikufungulie thread na wwnikuelezeee vle nahis upo, jinsi navokupenda au niache kiherehere 🤣🤣🤣🤣
Anyway Kuna watu majasiri sana
Aisewakuu Salam[emoji113]
nimetokea sana kumpenda money penny.nimekuwa nikifatilia nyuzi zake sana
nimemjengea picha kichwani nimdada mmoja wamoto sana na mremboo hasa kuliko mwanamke yeyote duniani.
natamani sikumoja niwe nae kiwanja tule bataa Hadi afurahi mwenyewe.
I love you so much money penny [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Haya bhana🙌Usimkubalie.money akizingua nakufata weee sawa😕
Ulimi wa nin tena[emoji39]
Mpeni ajira kijana,, anachanganyikiwa mapema sana maskini🤦♀️🤦♀️Tafuta shughul ya kufanya uji keep busy usiwe na mawazo ya kifala fala namna hii
🤣🤣🤣🤣🤣Aiseee! humu apana huenda ww ni mfupi, mweusi, una gomora la kutosha lkn kwenye kuelezea nkakuelezea kama mobetoFungua tu,, huenda ukapata bahati 😃😃😃
Hahahaaa mkuu umenichekesha sana aiseeTafuta shughul ya kufanya uji keep busy usiwe na mawazo ya kifala fala namna hii
Heheheheheh😃😃😃😃😂😂😂😂😂🙌🤣🤣🤣🤣🤣Aiseee! humu apana huenda ww ni mfupi, mweusi, una gomora la kutosha lkn kwenye kuelezea nkakuelezea kama mobeto
Ahaanimekutamn
Bro we pambania kombe bn! Mi namtania tu huyo mdada, mazingira nliyopo pisi zipo nyingi kinoma zingine zinajilengesha zingine tunazipambaniaUsimkubalie.money akizingua nakufata weee sawa😕
Pole sana aisee 🧐🧐daa unaniona chizi kumbe sio☹️
Muweke ofisin kijana wa namna hii,hakuna rangi utaacha kuiona.Mpeni ajira kijana,, anachanganyikiwa mapema sana maskini🤦♀️🤦♀️
Usikute ni mtu mzima kabisa ila kaamua tu kujitoa ufahamu,,maana Jf hii nayo 🤔🤔Muweke ofisin kijana wa namna hii,hakuna rangi utaacha kuiona.
Miandiko ya watu inaongea mengi sanaaa kama huamini !.
Umekula mchana?Silas unaniona chizi?
📌📌📌✍Unaweza kudhani tatizo ni kukosa usingizi kumbe tatizo ni kukosa akili
Hata wapumbavu hufikia utu uzima na kuzeeka kwahiyo kuwa mtu mzima haikufanyi usiwe mjinga.Usikute ni mtu mzima kabisa ila kaamua tu kujitoa ufahamu,,maana Jf hii nayo 🤔🤔