Usingizi ni dawa

James Kasonda

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
84
Reaction score
49
Kulala usingizi wa kutosha kila siku kutakupunguzia sana safari za kwenda kumuona Daktari. Usingizi ni kinga ya magonjwa kama kisukari, magonjwa ya moyo, kunenepa kupita kiasi, kusahausahau mambo n.k. Kama hulali usingizi wa kutosha utakufa mapema!! Ukweli ndio huo.
Unapoendelea kukimbizana na maisha kumbuka kutenga muda wa masaa manane ya kulala usingizi kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…