Usingizi

Usingizi

Kyalow

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,548
Reaction score
2,580
Salamu wakuu hili tatizo linanisumbua sana hadi nakosa raha...nipo chuo nasoma...ila ikifika saa 3 usiku nina shikwa na usingizi wa hatari...pia mchana wakati vipindi vinaendelea usingizi unanisumbua sana ingawa nina wahi kulala...usiku,naombeni mchango wenu wakuu
 
Salamu wakuu hili tatizo linanisumbua sana hadi nakosa raha...nipo chuo nasoma...ila ikifika saa 3 usiku nina shikwa na usingizi wa hatari...pia mchana wakati vipindi vinaendelea usingizi unanisumbua sana ingawa nina wahi kulala...usiku,naombeni mchango wenu wakuu
Mkuu, Acha kupiga punyeto na punguza Jimai (tendo la ndoa), nahisi ndio matatizo
unayokabiliana nayo, pia kama ulivyoelezwa na Mzizi mkavu tumia
kahawa, mimi napendelea zile ndogo za vipaketi zinauzwa 100 na sehemu
nyingine 150, usitumie za wale wa mitaani wakati mwingine wanachanganya
na Mwarobaini n.k.
 
shukrani wakuu kwa michango yenu
 
Salamu wakuu hili tatizo linanisumbua sana hadi nakosa raha...nipo chuo nasoma...ila ikifika saa 3 usiku nina shikwa na usingizi wa hatari...pia mchana wakati vipindi vinaendelea usingizi unanisumbua sana ingawa nina wahi kulala...usiku,naombeni mchango wenu wakuu

Usingizi ni Afya, lakini kulala sana pia ni mazoea. kinyume chake ndena kafanye MEDICA CHECK UP. Malaria iliojificha pia huweza kusababisha usingizi au ugonjwa ulio jificha.
 
Back
Top Bottom