Sijakuelewa,umeandika majina ya nyimbo au?
May be your the one who complicate things!Or......!!
Utaratibu huo bado upo tu, hiyo night stand ni kwa wafanyao biashara lakini kwa mdada wa kisure lazima uswage not less than 3 months at least.
Kuna msichana mmoja nilimuuliza, mbona huoni shida kuongea na mtu siku hiyohiyo mnakubaliana mambo, akasema kama nikikutana na mtu ambaye najua kabisa hata nikimzungusha miezi nitalala nae huwa najua eti akasema haina haja ya kumzungusha, kwa hiyo mtu anaejua hataweza kuwa nae anamkatalia hapohapo
mtu kama huyu utamchukuliajje,utandawazi umetuharibu sana jamani
Kuna msichana mmoja nilimuuliza, mbona huoni shida kuongea na mtu siku hiyohiyo mnakubaliana mambo, akasema kama nikikutana na mtu ambaye najua kabisa hata nikimzungusha miezi nitalala nae huwa najua eti akasema haina haja ya kumzungusha, kwa hiyo mtu anaejua hataweza kuwa nae anamkatalia hapohapo
mtu kama huyu utamchukuliajje,utandawazi umetuharibu sana jamani
Utaratibu huo bado upo tu, hiyo night stand ni kwa wafanyao biashara lakini kwa mdada wa kisure lazima uswage not less than 3 months at least.