Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
- Thread starter
-
- #301
Nimeanzisha uzi kusema ukweli uliojificha nyuma ya paziaAct wisely sio kuanzisha uzi tu ni kweli hayo mambo ya kupigwa vizinga yapo sanaa na Mabinti wengi humu ni Wapweke suala la kutaka kuanzisha mahusiano kisa umemfahamu humu ni suala jingine. Au ulianzisha uzi unataka mpenzi?
Itakuwa 😅😅😅
Kupata manzi ila siyo kupata mkeSio kweli huu ni upotoshaji mkubwa sana humu ni sehemu nzuri sana kupata Manzi
Achana nacho hako kamepanicMkuu kameshanijibu hapo juu! Kanasema sina kitu cha kudangwa!
Kabisa dada yangu 😂Hahaaa unajipakulia nyama kwa huyo Manzi unaye mlia rada 🤣🤣🤣🤣🤣
Nani aonane na Mwanaume wa Jf nyie mliokuwa na Nogwa sijawahi na sitawahi🤨Haina shida,uumbaji tu wa mwenyezi Mungu.
Ila ninachofurahia ni kuwa umezifahamu sasa sifa zangu so hautokuwa na pressure nikiomba linking up,sitokimbiwa.🤣
Na kupata mke piaKupata manzi ila siyo kupata mke
HahahahaKwa hiyo tupige tu mzee baba na tusepe?
🤣🤣🤣🤣Nani aonane na Mwanaume wa Jf nyie mliokuwa na Nogwa sijawahi na sitawahi🤨
Humu kuna kuwindana si unaona watu wanatoleana siri za uwongo na kweli.🤣🤣🤣🤣
Hii Inaonesha ni kiasi gani mtandaoni wa JF sio wa kuaminiana..
Uzi ufungwe [emoji375][emoji375][emoji375]Kama humu wamejaa Malaya wakike basi waliopo ni malaya wa kiume.
Huwezi kukaa pasipokufaa. Kama kuna wadangaji basi kuna wanunuzi.
Wote twategemeana.
Ila kwa kuwa mimi sinunui basi kuna ambaye hauzi. Nina uhakika.
Na wewe acha kunimwagia maji ya moto kwenye mwandiko.punguza uchungu na kisirani ndugu mtanzania mwenzanguAcha roho ya kwanini we kama mtu kakuelewa kwann usieleweke
Huyo ambae utakua nae utakua na uhakika gani kua yeye hayumo humu JF? JamiiForums sio kwamba ni Dunia iliyo peke yake,waliomo humu ndio waliopo huko mitaani,Are there people dating each other around here!!? Binafs siwezi kuwa na mwanamke wa humu never ever hata km nife na upwiru neveeer.
Hao ni wavulana mkuu,Mwanaume Gentleman hawezi kufungua thd na kumuelezea Mwanamke wa JF aliyekutana nae,🤣🤣🤣🤣
Hii Inaonesha ni kiasi gani mtandaoni wa JF sio wa kuaminiana..
Ukionana na mtu tegemea thread ya dhihaka,matusi,kejeli na mengineyo mabaya..😅
Wanawake wa JF sound zao wanaonekana ni wale independent women( yaani wanajimudu kiuchumi na hawana shobo kwa hela za mwanaume) na wasomi fulani hivi waliokua brainwashed na movements za ferminism. Sijui ndio characters zao kweli au wanajificha tu nyuma ya keyboard. I wish ningewajua wawili watatu.Chama cha wakataa ndoa wengi wao wameangukia kwa hawa wadada wa humu ndani
Habari ndugu zangu ikiwa ni jumamosi ya mwisho ya mwaka 2023.
Nayasema haya kutokana na utafiti wangu wa kimnya kimnya nilioufanya kutoka kwa hawa dada zetu wa Jf, nipo hapa kupigwa mawe pasi na kujali lolote ila ukweli ufike.
Wengi wao ni wake za watu, mademu za watu na wengine ni single maza, kulia shida kwao ni jambo la kawaida sana , atakuomba buku ila jua hujaombwa mwenyewe.
Na ukiwasikiliza maneno yao na sauti zao nikama malaika apigaye tarumbeta la amani, sauti zao ni za mapenzi ya hali ya juu, wanajali sana na wepesi kumpandisha mwanaume hisia za haraka kama kichwa cha juu hakifanyi kazi vizuri, ukiwa nao faragha hawana mvuto isipo kua sauti zao ni nzuri za kubembeleza kama mbayu wayu wa mwituni mithili ya kukupelekea wewe mwanaume kujiona upo peponi
wana mitego ya kimahaba na ukijichanganya unaweza hadi kuuza mechi hadharani na ukakata kusikiliza mawaiza na kuamua kuoa upesi pasi na kufikiria mara mbili
Vijana msije mkajichanganya mkaingia mtegoni kuoa wanawake wa humu ndani asilimia kubwa ni matapeli na wanavisasi zidi ya wanaume japo wanaonekana kama malaika, ni warahisi mno na wepesi sana kuchakatwa pasi na wao kujali lolote , wao kukuvulia nguo ni wewe tuu ujipimie.
Wanawake wa humu ndani Jf wameweka hela mbele kama posho ya huduma atakayo kupa na wengi wao wanajiona ni wagumu sana ila kwa upande mwingine ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa kama wewe ni mjanja mjanja na una vihela vya chenchi za karanga, hawa hawafai kuolewa ,kijana usije ukaingia mkenge utakuja kulia sana.
Wanawake wa Jf siyo wife material kabisa , wanamaomivu moyoni na asilimia kubwa ni mafeminist, single maza, wake za watu waliojawa na tamaa mbaya, mademu za watu viruka njia, wanawake wa dangaji na wengi wao hawana mvuto, hawajielewi, na wengine ni wauzaji wa moja kwa moja jumla na rejareja
Kijana unaye tafuta mke au mwanamke wa kuzaa nae, hawa wanawake wa Jf wakiimbie ma uwaogope kabisa huu ni mzigo mzito na wa moto sana. Kijana tafuta mwanamke wa kuoa /kuzaa nae /kuishi nae huko mtaani.
Kutafuta mke Jf hakuna tofauti na kwenda kutafuta mke Tinder.
Huu uzi usifutwe, huu ni ukweli mchungu sana, saidieni vijana kwa kusema ukweli ili taasisi ya ndoa iimarike
Kikubwa nisimtongozee humu ndani baaas!!Huyo ambae utakua nae utakua na uhakika gani kua yeye hayumo humu JF? JamiiForums sio kwamba ni Dunia iliyo peke yake,waliomo humu ndio waliopo huko mitaani,
Au nasema uongo binti kiziwi ?
Hapana acha ubishiNa kupata mke pia
Wewe ni nani mpaka useme uzi ufungwe?Uzi ufungwe [emoji375][emoji375][emoji375]