Usioe wanawake wa JF hawa ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa

Are there people dating each other around here!!? Binafs siwezi kuwa na mwanamke wa humu never ever hata km nife na upwiru neveeer.
Huyo ambae utakua nae utakua na uhakika gani kua yeye hayumo humu JF? JamiiForums sio kwamba ni Dunia iliyo peke yake,waliomo humu ndio waliopo huko mitaani,

Au nasema uongo binti kiziwi ?
 
Wanawake wa JF sound zao wanaonekana ni wale independent women( yaani wanajimudu kiuchumi na hawana shobo kwa hela za mwanaume) na wasomi fulani hivi waliokua brainwashed na movements za ferminism. Sijui ndio characters zao kweli au wanajificha tu nyuma ya keyboard. I wish ningewajua wawili watatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…