Haya mambo na Sisi huwa tunayachukulia kwa hekima sana. Kama kuanzisha uzi tungekuwa tumeshaanzisha sana.Nimeanzisha uzi kusema ukweli uliojificha nyuma ya pazia
Kabisa kabisa.Hao ni wavulana mkuu,Mwanaume Gentleman hawezi kufungua thd na kumuelezea Mwanamke wa JF aliyekutana nae,
Gentleman never kiss ana tell.
Anatakiwa alete walau idadi ya wanawake aliowala, ili tuone kweli research yake ina mashiko au vipi.Umeshatongoza wanawake wangapi humu? Lete na evidence
Wanajisifia tuu mkuu. Omba usiwajue hawa nyonya damuWanawake wa JF sound zao wanaonekana ni wale independent women( yaani wanajimudu kiuchumi na hawana shobo kwa hela za mwanaume) na wasomi fulani hivi waliokua brainwashed na movements za ferminism. Sijui ndio characters zao kweli au wanajificha tu nyuma ya keyboard. I wish ningewajua wawili watatu.
Huyo ambae utakua nae utakua na uhakika gani kua yeye hayumo humu JF? JamiiForums sio kwamba ni Dunia iliyo peke yake,waliomo humu ndio waliopo huko mitaani,
Au nasema uongo binti kiziwi ?
Yaani kuliwa hela ya nauli tu ndio uje kutuwekea nyuzi mvululuChama cha wakataa ndoa wengi wao wameangukia kwa hawa wadada wa humu ndani
Habari ndugu zangu ikiwa ni jumamosi ya mwisho ya mwaka 2023.
Nayasema haya kutokana na utafiti wangu wa kimnya kimnya nilioufanya kutoka kwa hawa dada zetu wa Jf, nipo hapa kupigwa mawe pasi na kujali lolote ila ukweli ufike.
Wengi wao ni wake za watu, mademu za watu na wengine ni single maza, kulia shida kwao ni jambo la kawaida sana , atakuomba buku ila jua hujaombwa mwenyewe.
Na ukiwasikiliza maneno yao na sauti zao nikama malaika apigaye tarumbeta la amani, sauti zao ni za mapenzi ya hali ya juu, wanajali sana na wepesi kumpandisha mwanaume hisia za haraka kama kichwa cha juu hakifanyi kazi vizuri, ukiwa nao faragha hawana mvuto isipo kua sauti zao ni nzuri za kubembeleza kama mbayu wayu wa mwituni mithili ya kukupelekea wewe mwanaume kujiona upo peponi
wana mitego ya kimahaba na ukijichanganya unaweza hadi kuuza mechi hadharani na ukakata kusikiliza mawaiza na kuamua kuoa upesi pasi na kufikiria mara mbili
Vijana msije mkajichanganya mkaingia mtegoni kuoa wanawake wa humu ndani asilimia kubwa ni matapeli na wanavisasi zidi ya wanaume japo wanaonekana kama malaika, ni warahisi mno na wepesi sana kuchakatwa pasi na wao kujali lolote , wao kukuvulia nguo ni wewe tuu ujipimie.
Wanawake wa humu ndani Jf wameweka hela mbele kama posho ya huduma atakayo kupa na wengi wao wanajiona ni wagumu sana ila kwa upande mwingine ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa kama wewe ni mjanja mjanja na una vihela vya chenchi za karanga, hawa hawafai kuolewa ,kijana usije ukaingia mkenge utakuja kulia sana.
Wanawake wa Jf siyo wife material kabisa , wanamaomivu moyoni na asilimia kubwa ni mafeminist, single maza, wake za watu waliojawa na tamaa mbaya, mademu za watu viruka njia, wanawake wa dangaji na wengi wao hawana mvuto, hawajielewi, na wengine ni wauzaji wa moja kwa moja jumla na rejareja
Kijana unaye tafuta mke au mwanamke wa kuzaa nae, hawa wanawake wa Jf wakiimbie ma uwaogope kabisa huu ni mzigo mzito na wa moto sana. Kijana tafuta mwanamke wa kuoa /kuzaa nae /kuishi nae huko mtaani.
Kutafuta mke Jf hakuna tofauti na kwenda kutafuta mke Tinder.
Huu uzi usifutwe, huu ni ukweli mchungu sana, saidieni vijana kwa kusema ukweli ili taasisi ya ndoa iimarike
acha uoga wewe, sneaky links ndo zenyewe😋🤣🤣🤣🤣
Hii Inaonesha ni kiasi gani mtandaoni wa JF sio wa kuaminiana..
Ukionana na mtu tegemea thread ya dhihaka,matusi,kejeli na mengineyo mabaya..😅
Uoga gani kijana?acha uoga wewe, sneaky links ndo zenyewe😋
mie hapa nitoe, mdake huyo Hamisi
Sentensi ndefu sana hii mkuu nimeshindwa kuisomaNamheshimu mama yako mdogo mwenye macho ya kuvutia🤣
Ndefu wapi..hapo umefumba macho na kufumbua kusoma kipande Cha pili.Sentensi ndefu sana hii mkuu nimeshindwa kuisoma
Miaka mingi imepita na sidhani kama Bado ni member humu.Hizi mambo ziacheni, yaliyofanyika huko yanaishia huko. Ukiendelea zaidi ya hivi utafanya bullying na huenda ukakimbiza mtu hapa.
Unaelewa maana ya logic?Au umeandika uonekane msomi?Sasa issue ya Kazi ulitaka uonane na Monalisa?
Ila Mbona Kama wanaume wengi siku hizi hawatumii logic kabisa ?
Kumaanisha nini 😄🤔😄Haya mambo na Sisi huwa tunayachukulia kwa hekima sana. Kama kuanzisha uzi tungekuwa tumeshaanzisha sana.
Lloyd MunroeAdhabu nitatoa "Nitamfungia huku tandale kwa 1 week"
aaah umehitimu chuo pamoja na Genta siyo
[emoji12][emoji12][emoji12]Wanaume wenyewe sasa Wanao anzisha mada ukiletewa picha zao unaweza piga kelele kwa kicheko ni waajabu.
[emoji1787][emoji1787]Haki vile usiombe upate picha zao mbilikimo pro max,kitambi cha kufutia simu,meno kama magimbi ya Ifakara,Macho mekundu kama nyanya[emoji205][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16]Mwanaume mwenye pesa anapoteza mda wake kuandika uzi wa masaa 2,Hawa wote kajamba nani humu kuna ma boss ila huwaoni hata kuchangia ni mara chache sana mda wote simu iko bizze wanaingiza pesa.