JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Ubakaji ni moja ya makosa yaliyoainishwa kisheria chini ya makosa yanayofanywa dhidi ya utu.
Mwongozo wa Taifa wa Sekta ya Afya kuhusu huduma na Kinga dhidi ya Ukatili wa Kijinsia umeelekeza kutojisafisha, ikiwezekana kutobadili nguo, kutoenda haja ndogo wala kubwa ili usipoteze ushahidi mpaka ufike kituo cha afya na kupimwa.
Vifungu vya 131 na 132 vya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 vinasema mtu yeyote atakayebainika amebaka atahukumiwa Kifungo cha Maisha jela.
Mwongozo wa Taifa wa Sekta ya Afya kuhusu huduma na Kinga dhidi ya Ukatili wa Kijinsia umeelekeza kutojisafisha, ikiwezekana kutobadili nguo, kutoenda haja ndogo wala kubwa ili usipoteze ushahidi mpaka ufike kituo cha afya na kupimwa.
Vifungu vya 131 na 132 vya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 vinasema mtu yeyote atakayebainika amebaka atahukumiwa Kifungo cha Maisha jela.
Upvote
1