Usiombe mwanamke akazimia gheto/magestini

Chizi kwel ww!! Et akafie kwao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ha ha ha ha inasikitisha ila inabidi nicheke tu mkuu hivi vitu simuliwa tu.
 
Pole sana. Je alikuwa amekula msosi au njaa? gemu la pili huwa sio mchezo!
 
ha ha hahayaan jinsi ulivyokuwa unasimulia dah
 
hivi huwa inasababishwa na nn hilo tatizo
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nimejua tatizo ni pressure na hewa haikuwepo kwenye chumba pia kwa uchafu wa chumba na alufu mbaya ndo maana kakakata moto kwa kukosa hewa na pressure kupanda
 
stor ya kusisimua hongera mkuu umeitunga vzur
 
Chizi kwel ww!! Et akafie kwao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aissee ni bora akafie kwao nijue moja kuliko kufa mikonon mwangu. Na ujinga wa short time ni kwamba akija mteja mwingine lazima ugongewe mpango utoke .. Niliwaza mengi sana, ila kubwa ilikua ni Jela
 
Mi ilinitokea indirectly.

Mshikaji wangu alijikamatia mtoto wa first year ambae alimsumbua sana.

Siku hiyo jamaa anasema hata ilikuwaje, yeye hakuwa katika mood kabisa lakini akashangaa bint anamletea swagga zile kama anataka kuliwa.

Tulikuwa na safari ya kwenda uwanjani kucheck game, ikabidi aniache, akaondoka na yule First year wake.

Wakiwa huko chobingo, ndio likatokea la kutokea. Katikati ya show sister du akazima. Chumbani pakawa hapatoshi.

Mshikaji akanipigia simu, anaongea huku haeleweki. Kimoja tu nilimuelewa, alisema kuna majanga.

Mtihani. Wakati chaka walipo sikuwa najua, pia akawa haeleweki na sauti haitoki.

Nilichofanya ni kwenda karibu na GH zilizo karibu na eneo tulipokuwa ili tu kubahatisha na ikibidi niwe karibu incase akipiga simu na kusema yupo GH ipi. Nilishindwa kwenda straight GH nikijua jamaa hawezi kuandikisha kitabu cha GH majina yake halisi. Nikabaki na butwaa.

Bahati nzuri, akanipigia. Akataja jina la GH na bahati nilikuwa karibu nayo. Nikakimbia fasta mpk pale, nikaulizia reception, nikamkuta mdingi.

Nikamueleza shida yangu kuwa, ndg yangu na mpenzi wake wapo chumba flani, nina shida ya kuwaona. Babu akanikatalia. Akanambia "mnataka kumpiga mande mtoto wa watu!" Nikachoka.

Ushawishi wangu kwa babu wa reception ukafeli. Ikabidi nimpigie simu mshkaji kumuambia nimefika lakini nimekwama reception. Mshikaji ikabidi atoke yeye. Ndio kunambia bint amezimia. Kisa?
 
Aissee ni bora akafie kwao nijue moja kuliko kufa mikonon mwangu. Na ujinga wa short time ni kwamba akija mteja mwingine lazima ugongewe mpango utoke .. Niliwaza mengi sana, ila kubwa ilikua ni Jela
Pole mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…