mrudi kwa kweli ...mnazi mmoja hospitali iko buree huku..
mkija, pitilizieni vijijini kwenu mkasaidie wazee wenu
huku simu sio lazima uweke hela unaweza kuwa una beep tuu unapigiwa nyie mpaka mlipe! Kila mahali hapa ukibanwa mkojo unakojoa njooni huku waachieni mashida yao!.
Sisi huku tuna afya tele tunavimbiwa, hospitali kibao unaandikiwa dawa pharmacy kila kona. Daladala tuna mpaka treni sikuizi, bado ya ndege kwenda moshi mbeya mwanza kila mahali magufuli yupo bwana na mwakyembe wataleta kwanini mnapata shida huko si mrudi huku simu sio lazima uweke hela unaweza kuwa una beep tuu unapigiwa nyie mpaka mlipe! Kila mahali hapa ukibanwa mkojo unakojoa njooni huku waachieni mashida yao!
Maboga, mihogo, mahindi. Maharage mabichi weee njooni. Kuna ng'ombe wa kupeleka kwa dume kule home njooni tusaidiane
Njooni bwn msitesekee kwa watu kwani huko mnafanya nini. Wazee wete majukumu yamewazidi huku magogoni mje kuwasaidia.
mrudi kwa kweli ...mnazi mmoja hospitali iko buree huku..
Ila hizo huduma zake! Bila kutoa kitu kidogo hupati ya maana.
NN si afadhali utoe kitu kidogo utibiwe kuliko kuishi maisha ya mashaka kama hayo? Mtu kama husomi na wala huna kazi ya maana ya nini kung'ang'ania huko?
Kama husomi na huna kazi ya maana unang'ang'ania nje kwa sababu Bongo kama huna elimu na huna kazi nzuri maana yake unasukuma mkokoteni Tabata Dampo... bora kulea wazee mbele hukoMtu kama husomi na wala huna kazi ya maana ya nini kung'ang'ania huko?
Kuna mdada mmoja mkenya aliumwa 2 weeks saa hizi nyumba hajalipa gari umeme na maji an simu .na kazi Hana Leo kuna kikao cha kumchangia.maisha gani hayo siheri Arudi Kenya tu .unaumwa week 2 tu unakutwa na drama lote hilo.kuishi paycheck to paycheck no heri urudi bongo[/QUOTE
Obamacare Romneycare