Usiombe yakukute!!

Ndoa za "jumla" hizi! Getrude Rwakatare @ work! Hao wanasali - deep - kabla ya kubarikiwa!
 
Duh it is embarrassing. Lakini inaelekea wanaomba Mungu mambo yaende sawa sawia ili wawahi kwenye honey moon zao. Otherwise wapo kwenye queu ya kumuona Dr. kabla ndoa hazijafungwa.
 
inavyoonekana kwenye picha hawa wamepatwa na msiba wa ghafla......i'm not sure 4 what i said..:A S-cry::A S-cry:
 
Aisee hili balaa inaelekea wamelazimwisha hawa si bure
 
hayo ndio mambo ya kupima ngoma kabla ya ndoa, wapo kwenye foleni ya kuingia kwa dokta kabla ya kuelekea kwa kasisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…