Muhabeshi
Member
- Jul 3, 2021
- 15
- 72
Hii inatuhusu vijana wengi tulio kwenye ndoa na tunaotarajia.
Wengi wetu tumekuwa wa kwanza kupoteza heshima ama kutoziheshimu NDOA zetu pia ata na wenza wetu.
Hivi ni yupi kati yetu anayeweza kustahamili Ubaya uleule tunaowafanyia kisha kufanyiwa wewe.
Kijana mwenzangu JAMBO USILOPENDA WEWE KUFANYIWA KATU USIMFANYIE NA MWENZAKO.
Wengi wetu tumekuwa wa kwanza kupoteza heshima ama kutoziheshimu NDOA zetu pia ata na wenza wetu.
Hivi ni yupi kati yetu anayeweza kustahamili Ubaya uleule tunaowafanyia kisha kufanyiwa wewe.
Kijana mwenzangu JAMBO USILOPENDA WEWE KUFANYIWA KATU USIMFANYIE NA MWENZAKO.