Colored words shows how pathetic you are......Ona ulivyo zuzu .....Chai ya rangi is nothing but majani yanayotumika...Sasa utakaataaje chai ya maziwa....
Uzuzu bana....China na Japan wanaongoza kwa kunywa chai za rangi zaidi duniani...vipi unajua life expectancy za hizi nchi....!!!
I had no personal attack on you am sorry,i didint mean to use aword unawashwa am sorry for that, sometime tounge does produce words we dont meanHamna scientific evidence ni stori za kijiweni tu, kama umeumia samahani. Tatizo la baadhi yenu kila munachoropoa kwenye mitandao munaamini ni sawa. Hiyo ya kuwashwa inathibitisha uwezo wako mdogo wa kustahmili maoni ya wengine.
Nafikiri lakini ulinielewa nilichokiandika..Colored words shows how pathetic you are......
I had no personal attack on you am sorry,i didint mean to use aword unawashwa am sorry for that, sometime tounge does produce words we dont mean
Mkuu unabishia huyu jamaa ila kuna kaukweli sana, binafsi ni teja wa chai kila jioni nikila bila kunywa chai huwa sishibagi etii..!Toxic9, habari hii ina ukweli ndani yake isipokua imekua over exaggerated hadi kupoteza maana halisi ya Somo lenyewe.
Msimuliaji anaonyesha kujua Biochemistry lakini siyo kiviiile.
Everything to much is harmful, the same applies to Caffeine containing drinks. Katika dose ya kawaida caffeine ina manufaa mengi tu mazuri na ndiyo maana haijakatahaijakatazwa kama Madawa mengine ya kulevya. Ila kama ikitumika hadi kufika lethal dose (vikombe vya chai 50-100 kwa mara moja) madhara makubwa hutokea.
Kwahiyo katika unywaji wa kawaida wa chai na Kahawa hakuna madhara yoyote.
Otherwise ni vizuri watu kujua pande mbili za chai na kahawa.
Mkuu toxic9 Asante kwa ujumbe wako. Mimi ninatumia hiyo chai na haini dhuru kwanini jiulize sababu gani? Nina nunuwa boksi moja la majani ya Chai ninatia ndani ya hilo Boksi la majani ya chai Gramu 25 ya unga wa Tangawizi na gramu 25 ya unga wa Mbadalasini ninakoroga vizuri nikipika chai ninachemsha sana maji yawe moto sana kisha ninachukuwa huo mchanganyiko wa majani ya chai unga wa Tangawizi na Unga wa Mbadalasini kijiko 1 ninatia ndani ya maji ya moto kwenye Birika moja la chai kisha ninaacha jikoni ichemke kwa muda wa dakika 5 kisha ninazima moto na kuwacha ipowe kidogo kama dakika 1 ndio ninatia ndani kikombe cha chai hiyo chai na kuinywa ninatumia sasa njia hiyo karibu miaka 15 iliyopita na wala siumwi na maradhi yoyote yatokanayo kwa kunywa chai na njia hiyo pia inaongeza nguvu za kiume kwa wanaume ambao nguvu zao zimepunguwa watumie njia hiyo watafaidika kwa kunywa chai na kuongeza nguvu ya dushelele lao Asanteni.Habari za kwenu wadau,
Sio mbaya leo nikiwashirikisha madhara yanayotokana na unywaji wa chai na kahawa,
Kuna nini kibaya kwenye CHAI na KAHAWA?:
Kwenye chai na kahawa kuna kitu kinaitwaCAFFEINA/KAFEINA.
Kafeina ni nini?:
1. Kafeina ni madawa ya kulevya kundi la ‘Stimulants drugs’.
Utashangaa. Habari ndiyo hiyo. Hii ndiyo sababu kwa mtu aliyezoea kunywa chai hii kila siku au kahawa, siku asipokunywa kichwa humuuma, ni kwa sababu amekuwa mtegemezi au teja wa kafeina.
Kafeina ni kiungo mhimu karibu katika soda zote zenye rangi nyeusi; Coca-cola, Pepsi, Sayona nyeusi, Azam cola na kadharika. Kafeina huongezwa pia katika Red bull, Malta na katika baadhi ya dawa za kupunguza maumivu mwilini.
Kwahiyo Kafeina ambayo hupatikana katika chai na kahawa ni aina mojawapo yamadawa ya kulevya.
2. Kafeina ni kikojoshi (diuretics).
Kafeina ni dawa ya kukufanya ukojowe. Ukinywa kikombe kimoja cha kinywaji chenye kafeina yaani chai au kahawa, basi muda si mrefu utaenda kukojoa vikombe viwili. Kwa sababu kafeina ni taka isiyotakiwa mwilini, mwili utafanya kila uwezalo ikibidi ujikamuwe wenyewe kupata maji ya ziada kuweza kuitoa kafeina hii uliyoinywa kwa kisingizio cha chai, kahawa au soda.
Madhara yake ni nini?, Moja; kama unakunywa kinywaji na muda si mrefu unalazimika kwenda kukitoa inamaanisha kinywaji hicho hakikutumika vema na mwili. Pili; kumbuka ulikunywa kikombe kimoja na umeenda kutoa viwili, hivyo umekopwa maji mwilini mwako na ukumbuke kuwa MAJI NI UHAI.
3. Kafeina husababisha KANSA.
Seli ndani ya mwili lazima zibaki katika kiasi kidogo cha alkalini kutoka 7.2 mpaka 7.4, wakati 7.0 ni ya kati au husemwa sifuri katika kipimo cha PH (potential hydrogen). Chini ya 7.0 ni asidi na juu ya 7.0 ni alkalini. Kafeina yenyewe ni asidi, hivyo ikiwa mtu anafanya chai au kahawa ndivyo vinywaji vyake vya kila siku basi mtu huyo lazima atakuja kupatwa na kansa katika siku za usoni kwakuwa seli za kansa huishi katika hali ya uasidi pekee na kafeina ndimo mazingira mazuri ya kuishi asidi.
Jarida moja la afya la Uingereza, ‘The British Medical Journal Lancet’, limeripoti uhusiano mkubwa uliopo baina ya utumiaji wa kahawa na kansa ya kibofu cha mkojo na kupungua kwa uzarishwaji wa mkojo.
4. Kaffeina huchangia upotevu wa madini na vitamin mhimu mwilini.
Kafeina ambayo ni kikojoshi, huyalazimisha maji kukimbia nje ya mwili kwa haraka na kuziacha seli bila muda wa kutosha kuyatumia maji hayo, maji yanapokimbia kwa haraka nje ya mwili huyakimbiza pia madini mhimu nje ya miili yetu.
5. Kaffeina husababisha kisukari.
Mwili una vyanzo 3 vya nguvu ambavyo ni Sukari, Mafuta, na Maji/Chumvi. Tumesema kaffeina ni kikojoshi, hivyo kaffeina hupelekea upotevu usio wa lazima wa maji mwilini, mwili unapokosa maji kama chanzo chake cha nguvu, moja kwa moja huhamia kuitegemea sukari kama chanzo chake cha nguvu na mwishowe kisukari lazima kitokee.
6. Uchovu sugu.
Wapenzi wengi wa chai ya rangi na kahawa mara nyingi wanapojisikia uchovu hukimbilia kikombe cha kahawa au chai. Kaffeina iliyomo katika chai au kahawa huenda kuiamsha na kuitumia nguvu iliyokuwa imehifadhiwa na mwili kwa ajili ya matendo ya dharura na kukuacha wewe ukiwa huna nguvu ya ziada kwa ajili ya kazi za dharura, matokeo yake ni mwili unakuwa upo katika hali ya msukosuko muda wote.
Utolewaji wa sukari iliyokuwa imehifadhiwa, kunapelekea mfadhaiko mkubwa kwenye mfumo wa dharura wa mwili. Unaposhitushwa kidogo tu, unakuwa na nguvu za haraka (Unahamaki) kushughurika na tatizo. Hali hii hatimaye inaweza kupelekea kukauka kwa tezi ya adreno kutakakosababisha damu chache yenye sukari (hypoglycemia), udhaifu, na kuumwa sana iwapo sukari haitachukuliwa mapema kupandisha juu damu sukari.
Kwa sababu ya biashara kuunda vyakula vyetu vyote maalumu na vinywaji vyenye radha mpya, radha nzuri na nguvu ya kutosha kwa kutumia kafeina toka katika mimea na mitishamba kama vile ginseng kuisisimua tezi ya adreno, kunasababisha Ini kutoa sukari iliyokuwa imehifadhiwa mwilini kwa ajili ya matumizi yake ya dharura.
Hakuna nguvu iliyomo kwenye kafeina auginseng. Kuna majina mengine mengi ya visisimuwaji hivi kama vile, kokwa za guru,kokwa za cola na mfalme wa yote niguarana. Mbegu za guarana zina kiasi cha kafeina mara tatu zaidi ya zile za kahawa, na hawatakiwi kuliorodhesha neno kafeina kwenye vifungashio (packages) au kontena.
Ungaunga wa guarana hutumika kutengenezea vidonge vya kupunguza uzito kwa sababu kafeina itazisambaratisha hisia za njaa, lakini hakuna mahala neno kafeina linaonekana kwenye vifungashio vya dawa hizi.
Kuna mimea, kokwa na kemikali nyingi ambazo zitaisisimua tezi ya adreno na kusababisha ini kuitoa sukari iliyokuwa imehifadhiwa au hata kuitengeneza toka tishu za mwili wenyewe ‘(gluconeogenesis)’.
Imethibitika pia kuwa kafeina imekuwa ikiingilia na kuathiri unakilishaji wa kinasaba (DNA), namna ambavyo seli mpya hutengenezwa. Kafeina inaweza kusababisha upotevu toka mwilini wa vitamini nyingi za kundi B, kundi C, zinki, potasiamu na madini mengine. Kahawa huongeza hali ya uasidi kwenye utumbo mdogo.
Kafeina inaweza kusababisha msukosuko ndani ya mwili.
Kafeina siyo kwamba tu huimaliza nguvu iliyokuwa imehifadhiwa kwenye ubongo, bali pia huzuia mfumo vimeng’enya katika kutengeneza kumbukumbu kwenye ubongo.
Kituo cha Sayansi kwa maslahi ya umma (Center for Science in Public Interest) kimewashauri kinamama wajawazito kukaa mbali na kafeina kwa kuwa tafiti zimeonesha kwamba kiasi cha kafeina kilichomo kwenye vikombe 4 vya kahawa kwa siku kinaweza kusababisha matatizo wakati wa kujifungua kama yalivyoonwa katika majaribio kwa wanyama.
‘Madawa na wewe’, kwa mjibu wa Dr. Earl Mindell, mwandishi wa kitabu; ‘Earl Mindell’s New Vitamin Bible’ (zaidi ya nakala milioni 10 zimeuzwa), anasema katika ukurasa wa 414 wa kitabu hicho kuwa ‘kafeina ni dawa yenye nguvu kubwa, uwezekano ni kuwa, hauifurahii tu kahawa au cola yako ya kila siku, bali umekuwamtegemezi au teja (addicted) wa hiyo kafeina’.
Madhara ya chai ya rangi na kahawa mwilini ni mengi sana na tatizo moja litapelekea lingine na orodha inakuwa haiishi.
Namna ya kuepuka kaffeina kwenye kahawa na chai:
Badala ya kutumia majani hayo ya chai meusi, wewe chemsha maji yako ya chai kama kawaida na unaweza kutumia vifuatavyo kukamilisha chai yako; unaweza kutumia tangawizi na kumbuka pia tangawizi ni dawa ya zaidi ya magonjwa 72 mwilini.
Kwahiyo unapoinywa chai ya tangawizi siyo tu unaepuka madhara ya kaffeina peke yake, bali pia unakuwa umekunywa dawa ya zaidi ya magonjwa 72 mwilini!. Unaweza pia kuweka mdalasini, mchaichai, kukamulia ndimu, pia unaweza kutumia mchanganyiko wa viungo vingi vya chai (spiced tea) ambavyo vinapatikana kwa wingi katika soko la Kariakoo Dar – Es – Salaam na Zanzibar
View attachment 351496
Habari za kwenu wadau,
Sio mbaya leo nikiwashirikisha madhara yanayotokana na unywaji wa chai na kahawa,
Kuna nini kibaya kwenye CHAI na KAHAWA?:
Kwenye chai na kahawa kuna kitu kinaitwaCAFFEINA/KAFEINA.
Kafeina ni nini?:
1. Kafeina ni madawa ya kulevya kundi la ‘Stimulants drugs’.
Utashangaa. Habari ndiyo hiyo. Hii ndiyo sababu kwa mtu aliyezoea kunywa chai hii kila siku au kahawa, siku asipokunywa kichwa humuuma, ni kwa sababu amekuwa mtegemezi au teja wa kafeina.
Kafeina ni kiungo mhimu karibu katika soda zote zenye rangi nyeusi; Coca-cola, Pepsi, Sayona nyeusi, Azam cola na kadharika. Kafeina huongezwa pia katika Red bull, Malta na katika baadhi ya dawa za kupunguza maumivu mwilini.
Kwahiyo Kafeina ambayo hupatikana katika chai na kahawa ni aina mojawapo yamadawa ya kulevya.
2. Kafeina ni kikojoshi (diuretics).
Kafeina ni dawa ya kukufanya ukojowe. Ukinywa kikombe kimoja cha kinywaji chenye kafeina yaani chai au kahawa, basi muda si mrefu utaenda kukojoa vikombe viwili. Kwa sababu kafeina ni taka isiyotakiwa mwilini, mwili utafanya kila uwezalo ikibidi ujikamuwe wenyewe kupata maji ya ziada kuweza kuitoa kafeina hii uliyoinywa kwa kisingizio cha chai, kahawa au soda.
Madhara yake ni nini?, Moja; kama unakunywa kinywaji na muda si mrefu unalazimika kwenda kukitoa inamaanisha kinywaji hicho hakikutumika vema na mwili. Pili; kumbuka ulikunywa kikombe kimoja na umeenda kutoa viwili, hivyo umekopwa maji mwilini mwako na ukumbuke kuwa MAJI NI UHAI.
3. Kafeina husababisha KANSA.
Seli ndani ya mwili lazima zibaki katika kiasi kidogo cha alkalini kutoka 7.2 mpaka 7.4, wakati 7.0 ni ya kati au husemwa sifuri katika kipimo cha PH (potential hydrogen). Chini ya 7.0 ni asidi na juu ya 7.0 ni alkalini. Kafeina yenyewe ni asidi, hivyo ikiwa mtu anafanya chai au kahawa ndivyo vinywaji vyake vya kila siku basi mtu huyo lazima atakuja kupatwa na kansa katika siku za usoni kwakuwa seli za kansa huishi katika hali ya uasidi pekee na kafeina ndimo mazingira mazuri ya kuishi asidi.
Jarida moja la afya la Uingereza, ‘The British Medical Journal Lancet’, limeripoti uhusiano mkubwa uliopo baina ya utumiaji wa kahawa na kansa ya kibofu cha mkojo na kupungua kwa uzarishwaji wa mkojo.
4. Kaffeina huchangia upotevu wa madini na vitamin mhimu mwilini.
Kafeina ambayo ni kikojoshi, huyalazimisha maji kukimbia nje ya mwili kwa haraka na kuziacha seli bila muda wa kutosha kuyatumia maji hayo, maji yanapokimbia kwa haraka nje ya mwili huyakimbiza pia madini mhimu nje ya miili yetu.
5. Kaffeina husababisha kisukari.
Mwili una vyanzo 3 vya nguvu ambavyo ni Sukari, Mafuta, na Maji/Chumvi. Tumesema kaffeina ni kikojoshi, hivyo kaffeina hupelekea upotevu usio wa lazima wa maji mwilini, mwili unapokosa maji kama chanzo chake cha nguvu, moja kwa moja huhamia kuitegemea sukari kama chanzo chake cha nguvu na mwishowe kisukari lazima kitokee.
6. Uchovu sugu.
Wapenzi wengi wa chai ya rangi na kahawa mara nyingi wanapojisikia uchovu hukimbilia kikombe cha kahawa au chai. Kaffeina iliyomo katika chai au kahawa huenda kuiamsha na kuitumia nguvu iliyokuwa imehifadhiwa na mwili kwa ajili ya matendo ya dharura na kukuacha wewe ukiwa huna nguvu ya ziada kwa ajili ya kazi za dharura, matokeo yake ni mwili unakuwa upo katika hali ya msukosuko muda wote.
Utolewaji wa sukari iliyokuwa imehifadhiwa, kunapelekea mfadhaiko mkubwa kwenye mfumo wa dharura wa mwili. Unaposhitushwa kidogo tu, unakuwa na nguvu za haraka (Unahamaki) kushughurika na tatizo. Hali hii hatimaye inaweza kupelekea kukauka kwa tezi ya adreno kutakakosababisha damu chache yenye sukari (hypoglycemia), udhaifu, na kuumwa sana iwapo sukari haitachukuliwa mapema kupandisha juu damu sukari.
Kwa sababu ya biashara kuunda vyakula vyetu vyote maalumu na vinywaji vyenye radha mpya, radha nzuri na nguvu ya kutosha kwa kutumia kafeina toka katika mimea na mitishamba kama vile ginseng kuisisimua tezi ya adreno, kunasababisha Ini kutoa sukari iliyokuwa imehifadhiwa mwilini kwa ajili ya matumizi yake ya dharura.
Hakuna nguvu iliyomo kwenye kafeina auginseng. Kuna majina mengine mengi ya visisimuwaji hivi kama vile, kokwa za guru,kokwa za cola na mfalme wa yote niguarana. Mbegu za guarana zina kiasi cha kafeina mara tatu zaidi ya zile za kahawa, na hawatakiwi kuliorodhesha neno kafeina kwenye vifungashio (packages) au kontena.
Ungaunga wa guarana hutumika kutengenezea vidonge vya kupunguza uzito kwa sababu kafeina itazisambaratisha hisia za njaa, lakini hakuna mahala neno kafeina linaonekana kwenye vifungashio vya dawa hizi.
Kuna mimea, kokwa na kemikali nyingi ambazo zitaisisimua tezi ya adreno na kusababisha ini kuitoa sukari iliyokuwa imehifadhiwa au hata kuitengeneza toka tishu za mwili wenyewe ‘(gluconeogenesis)’.
Imethibitika pia kuwa kafeina imekuwa ikiingilia na kuathiri unakilishaji wa kinasaba (DNA), namna ambavyo seli mpya hutengenezwa. Kafeina inaweza kusababisha upotevu toka mwilini wa vitamini nyingi za kundi B, kundi C, zinki, potasiamu na madini mengine. Kahawa huongeza hali ya uasidi kwenye utumbo mdogo.
Kafeina inaweza kusababisha msukosuko ndani ya mwili.
Kafeina siyo kwamba tu huimaliza nguvu iliyokuwa imehifadhiwa kwenye ubongo, bali pia huzuia mfumo vimeng’enya katika kutengeneza kumbukumbu kwenye ubongo.
Kituo cha Sayansi kwa maslahi ya umma (Center for Science in Public Interest) kimewashauri kinamama wajawazito kukaa mbali na kafeina kwa kuwa tafiti zimeonesha kwamba kiasi cha kafeina kilichomo kwenye vikombe 4 vya kahawa kwa siku kinaweza kusababisha matatizo wakati wa kujifungua kama yalivyoonwa katika majaribio kwa wanyama.
‘Madawa na wewe’, kwa mjibu wa Dr. Earl Mindell, mwandishi wa kitabu; ‘Earl Mindell’s New Vitamin Bible’ (zaidi ya nakala milioni 10 zimeuzwa), anasema katika ukurasa wa 414 wa kitabu hicho kuwa ‘kafeina ni dawa yenye nguvu kubwa, uwezekano ni kuwa, hauifurahii tu kahawa au cola yako ya kila siku, bali umekuwamtegemezi au teja (addicted) wa hiyo kafeina’.
Madhara ya chai ya rangi na kahawa mwilini ni mengi sana na tatizo moja litapelekea lingine na orodha inakuwa haiishi.
Namna ya kuepuka kaffeina kwenye kahawa na chai:
Badala ya kutumia majani hayo ya chai meusi, wewe chemsha maji yako ya chai kama kawaida na unaweza kutumia vifuatavyo kukamilisha chai yako; unaweza kutumia tangawizi na kumbuka pia tangawizi ni dawa ya zaidi ya magonjwa 72 mwilini.
Kwahiyo unapoinywa chai ya tangawizi siyo tu unaepuka madhara ya kaffeina peke yake, bali pia unakuwa umekunywa dawa ya zaidi ya magonjwa 72 mwilini!. Unaweza pia kuweka mdalasini, mchaichai, kukamulia ndimu, pia unaweza kutumia mchanganyiko wa viungo vingi vya chai (spiced tea) ambavyo vinapatikana kwa wingi katika soko la Kariakoo Dar – Es – Salaam na Zanzibar
View attachment 351496
Ni kweli unavyosema kama ana vidonda vya tumbo kitu tangawizi, mdalasini, limao, maziwa nk haviruhusiwi kwa mgonjwa mwenye vidonda vya tumbo hususani vyakula au vitu vyenye acid... Naamini kuna wadau humu wapo vizuri na wana elimu, watatusaidia vizuri kwa maelekezo kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo atumie nini hasa kama mbadala wakina Mzizi mkavu nk wanaweza kutoa ushauri mbadala..Asante sana mkuu kwa kutujuza...
Lakini uposema kuwa tangawizi ndio iwe mbadala wa majani ya chai, vipi kwa mtu ambae ana tatizo la vidonda vya tumbo ambae ni very risky kwake kitumia hiyo tangawizi? Kwa maana ukimeza tangawizi hata kama vidonda vilikuwa vimetulia utaviamsha na kitakachotokea hapo ni tumbo kuwaka moto na maumivu ya hali ya juu.. ni mbadala upi yeye atumie? Na vipi kihusu soya? Nayo pia inatumika sana madhari yake ni too harmful kilinganisha na hiyo kahawa?
Safi mkuu umechangia vyema,nimependa idea yako.Mkuu toxic9 Asante kwa ujumbe wako. Mimi ninatumia hiyo chai na haini dhuru kwa jiulize sababu gani? Nina nunuwa boksi moja la majani ya Chai ninatia ndani ya hilo Boksi la majani ya chai Gramu 25 ya unga wa Tangawizi na gramu 25 ya unga wa Mbadalasini ninakoroga vizuri nikipika chai ninachemsha sana maji yawe moto sana kisha ninachukuwa huo mchanganyiko wa majani ya chai unga wa Tangawizi na Unga wa Mbadalasini kijiko 1 ninatia ndani ya maji ya moto kwenye Birika moja la chai kisha ninaacha jikoni ichemke kwa muda wa dakika 5 kisha ninazima moto na kuwacha ipowe kidogo kama dakika 1 ndio ninatia ndani kikombe cha chai hiyo chai na kuinywa ninatumia sasa njia hiyo karibu mika 15 iliyopita na wala siumwi na maradhi yoyote yatokanayo kwa kunywa chai na njia hiyo pia inaongeza nguvu za kiume kwa wanaume ambao nguvu zao zimepunguwa watumie njia hiyo watafaidika kwa kunywa chai na kuongeza nguvu ya dushelele lao Asanteni.
kama unataka dawa ya kutibu vidonda vyako vya tumbo nitafute mimi ninaweza kukutibia na ukapona kwa muda wa siku 30 utapona na kula chakula unacho kitaka. Ukihitaji matibabu yangu unaweza kunitafuta kwa njia mbili njia ya kwanza ni email baruwa ya pepe Email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com na njia ya pili unaweza kuni Add kwenye What's App au Viber accoıunt yako kwa kutumia namba yangu hii hapa +905344508169.Asante sana mkuu kwa kutujuza...
Lakini uposema kuwa tangawizi ndio iwe mbadala wa majani ya chai, vipi kwa mtu ambae ana tatizo la vidonda vya tumbo ambae ni very risky kwake kitumia hiyo tangawizi? Kwa maana ukimeza tangawizi hata kama vidonda vilikuwa vimetulia utaviamsha na kitakachotokea hapo ni tumbo kuwaka moto na maumivu ya hali ya juu.. ni mbadala upi yeye atumie? Na vipi kihusu soya? Nayo pia inatumika sana madhari yake ni too harmful kilinganisha na hiyo kahawa?
Mkuu, hebu cheki na mzizimkavu akupe apermanent solution to ulcers, mcheki pm akupe muongozo juu ya kuvitibu vidonda vya tumbo..Asante sana mkuu kwa kutujuza...
Lakini uposema kuwa tangawizi ndio iwe mbadala wa majani ya chai, vipi kwa mtu ambae ana tatizo la vidonda vya tumbo ambae ni very risky kwake kitumia hiyo tangawizi? Kwa maana ukimeza tangawizi hata kama vidonda vilikuwa vimetulia utaviamsha na kitakachotokea hapo ni tumbo kuwaka moto na maumivu ya hali ya juu.. ni mbadala upi yeye atumie? Na vipi kihusu soya? Nayo pia inatumika sana madhari yake ni too harmful kilinganisha na hiyo kahawa?