Usipitwe, pitia hapa kujua madhara ya chai na kahawa kiafya

Ona ulivyo zuzu .....Chai ya rangi is nothing but majani yanayotumika...Sasa utakaataaje chai ya maziwa....

Uzuzu bana....China na Japan wanaongoza kwa kunywa chai za rangi zaidi duniani...vipi unajua life expectancy za hizi nchi....!!!
Colored words shows how pathetic you are......
 
wewe msabato? kahawa /chai tulikuwa tunakunywa, tutakunjwa na tutaendelea kunya sambamba na yule mdudu mwenye pua
 
wewe msabato? kahawa /chai tulikuwa tunakunywa, tutakunjwa na tutaendelea kunya sambamba na yule mdudu mwenye pua
Ur life choices is on ur hand....am not anyone to let you follow my lead thats awkward
 
Hamna scientific evidence ni stori za kijiweni tu, kama umeumia samahani. Tatizo la baadhi yenu kila munachoropoa kwenye mitandao munaamini ni sawa. Hiyo ya kuwashwa inathibitisha uwezo wako mdogo wa kustahmili maoni ya wengine.
I had no personal attack on you am sorry,i didint mean to use aword unawashwa am sorry for that, sometime tounge does produce words we dont mean
 
Mkwere pampja na kula vyakula vilivyopimwa lakini aliumwa tezi dume wote tutaumwa tu
 
Mkuu unabishia huyu jamaa ila kuna kaukweli sana, binafsi ni teja wa chai kila jioni nikila bila kunywa chai huwa sishibagi etii..!

Afu kila nikinywa chai kukojoa hakukwepeji tofauti na nikinywa maji..!
 
Mkuu toxic9 Asante kwa ujumbe wako. Mimi ninatumia hiyo chai na haini dhuru kwanini jiulize sababu gani? Nina nunuwa boksi moja la majani ya Chai ninatia ndani ya hilo Boksi la majani ya chai Gramu 25 ya unga wa Tangawizi na gramu 25 ya unga wa Mbadalasini ninakoroga vizuri nikipika chai ninachemsha sana maji yawe moto sana kisha ninachukuwa huo mchanganyiko wa majani ya chai unga wa Tangawizi na Unga wa Mbadalasini kijiko 1 ninatia ndani ya maji ya moto kwenye Birika moja la chai kisha ninaacha jikoni ichemke kwa muda wa dakika 5 kisha ninazima moto na kuwacha ipowe kidogo kama dakika 1 ndio ninatia ndani kikombe cha chai hiyo chai na kuinywa ninatumia sasa njia hiyo karibu miaka 15 iliyopita na wala siumwi na maradhi yoyote yatokanayo kwa kunywa chai na njia hiyo pia inaongeza nguvu za kiume kwa wanaume ambao nguvu zao zimepunguwa watumie njia hiyo watafaidika kwa kunywa chai na kuongeza nguvu ya dushelele lao Asanteni.
 

Asante sana mkuu kwa kutujuza...
Lakini uposema kuwa tangawizi ndio iwe mbadala wa majani ya chai, vipi kwa mtu ambae ana tatizo la vidonda vya tumbo ambae ni very risky kwake kitumia hiyo tangawizi? Kwa maana ukimeza tangawizi hata kama vidonda vilikuwa vimetulia utaviamsha na kitakachotokea hapo ni tumbo kuwaka moto na maumivu ya hali ya juu.. ni mbadala upi yeye atumie? Na vipi kihusu soya? Nayo pia inatumika sana madhari yake ni too harmful kilinganisha na hiyo kahawa?
 
Ni kweli unavyosema kama ana vidonda vya tumbo kitu tangawizi, mdalasini, limao, maziwa nk haviruhusiwi kwa mgonjwa mwenye vidonda vya tumbo hususani vyakula au vitu vyenye acid... Naamini kuna wadau humu wapo vizuri na wana elimu, watatusaidia vizuri kwa maelekezo kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo atumie nini hasa kama mbadala wakina Mzizi mkavu nk wanaweza kutoa ushauri mbadala..
 
Safi mkuu umechangia vyema,nimependa idea yako.
 
Hakuna kitu inanipa boost kama chai. Hata maji nikinywa mengi baada ya muda ntaenda kukojoa. My favorite kinywaji ni chai tena ya rangi
 
kama unataka dawa ya kutibu vidonda vyako vya tumbo nitafute mimi ninaweza kukutibia na ukapona kwa muda wa siku 30 utapona na kula chakula unacho kitaka. Ukihitaji matibabu yangu unaweza kunitafuta kwa njia mbili njia ya kwanza ni email baruwa ya pepe Email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com na njia ya pili unaweza kuni Add kwenye What's App au Viber accoıunt yako kwa kutumia namba yangu hii hapa +905344508169.
 
Mkuu, hebu cheki na mzizimkavu akupe apermanent solution to ulcers, mcheki pm akupe muongozo juu ya kuvitibu vidonda vya tumbo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…