Hivi km umeaply tcu na haujaaply vyuo vingine na ikitokea hujachaguliwa utafanya nini wakati muda wa kutuma maombi ktk vyuo vingine utakuwa umekwisha,,,,
kwani umepata div3 ya points ngapi?kama umepata 3 ya 16
kwani umepata div3 ya points ngapi?kama umepata 3 ya 16
apply na diploma,maana hayo matokeo yako hayaeleweki!