glass amo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,645
- 4,330
Wakuu hope mko fine.
Yangu Leo n machache. Kama kichwa cha habar kinavyo eleza. binafsi hua nahisi kukosa kitu cha muhimu pindi inapo tokea sijapata nafas hata dakika moja ya kuperuzi humu. sjui kwa upande wako hua unajiskiaje? tushirikiane hapa kuujenga na kuutambua umuhimu waJamii forum katika maisha yetu ya kila siku...
haya sas twende wote
nawasilishaaaa
Davet Shunie Mzigua90 Hajar Mwifwa Bujibuji Mshana Jr Sakayo RRONDO
Yangu Leo n machache. Kama kichwa cha habar kinavyo eleza. binafsi hua nahisi kukosa kitu cha muhimu pindi inapo tokea sijapata nafas hata dakika moja ya kuperuzi humu. sjui kwa upande wako hua unajiskiaje? tushirikiane hapa kuujenga na kuutambua umuhimu waJamii forum katika maisha yetu ya kila siku...
haya sas twende wote
nawasilishaaaa
Davet Shunie Mzigua90 Hajar Mwifwa Bujibuji Mshana Jr Sakayo RRONDO