Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
sawaSimba atashinda
Yanga atashinda
Hilo nina uhakika nalo 100%
Nchi imewaita na kuwaambia waache ubinafsi, kwahiyo hawa jamaa wako pamoja ila kila mmoja anafanya lake.
Ushindi kwa timu hizi narudia ni 100%
DuuhSimba atashinda
Yanga atashinda
Hilo nina uhakika nalo 100%
Nchi imewaita na kuwaambia waache ubinafsi, kwahiyo hawa jamaa wako pamoja ila kila mmoja anafanya lake.
Ushindi kwa timu hizi narudia ni 100%
Wachezaji wa Uto hawawezi kupotezea hii fursa ππUshindi kwa timu hizi narudia ni 100%
Biashara matangazo.Wachezaji wa Uto hawawezi kupotezea hii fursa ππ
Najaribu kumsoma pacome lazima atatumbukiza goli 3 ili akaimbiwe nyimbo huko Mikumi kwa siku 7 na huyo mrembo.Biashara matangazo.
FT Simba 2 : 1 Al ahlyHalf time simba 1-1
Half time yanga 1-0 nao nao hali ni tete mda wowote wanafungwa
Ngoja tusubiri gemuili hizi timu zetu ziende nusu fainali, game za nyumbani zishinde kwa tofauti ya zaidi ya goli 2 ama 3
Uzi tayari...Simba atashinda
Yanga atashinda
Hilo nina uhakika nalo 100%
Nchi imewaita na kuwaambia waache ubinafsi, kwahiyo hawa jamaa wako pamoja ila kila mmoja anafanya lake.
Ushindi kwa timu hizi narudia ni 100%