Usipokunywa pombe lugha nyingi huwezi kuzielewa

Usipokunywa pombe lugha nyingi huwezi kuzielewa

doppla2

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2014
Posts
1,363
Reaction score
1,431
Kati ya kauli ambayo hutumiwa na wanywaji ni ile inayosema "Tukutane Mtakuja Bar ili nikupe mchongo"

Hivi michongo hiyo huwa ni ipi ambayo mtu akiwa hanywi pombe hawezi kupewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walevi ndiyo watu wenye michongo na ili akupe anataka aone ufanisi wako kwenye pombe ukoje asije kumpa mchongo mtu asiyefaa.
 
Sijawahi kujutia mahudhurio yangu mazuri ya bar, huko ndipo kumenipa michongo ya maana na kukutana na wadau wakubwa sanaa.

Nawakumbusha tu tukiwa bar, huwa tunakuwa level moja hata na wale maboss wa ofisi kubwa kubwa pale sauti ni moja na lugha ni moja tu.
 
doppla2, Wanakupima imani na namna ya kucontrol kinywa chako, ujue tu ukishakunywa na ukaweza kufunga mdomo wako kutokuropoka hovyo wanajua huyu ni kidume ba hata uwe mchongo batili akilewa halishi kuku'
Sasa ww nenda ukishalewa bwabwaja ,chaa hutaona huo mchongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom